Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,488
- 1,806
Ndugu,
Mimi nimekuwa natumia TV ya SONNY Triniton, Lakini sasa imechoka kwani rangi haionekani vizuri. Hivyo nataka kununua TV nyingine. Budget ni kama 700K hivi. Nimeshauriwa nininue Flat Screen ya StarTime.
Naomba ushauri juu ya UBORA wa TV hizi ama ushauri wa mbadala wake. Sijawahi tumia Flat Screen hapa nyumbani kwangu.
Natanguliza shukrani za dhati
Nyati
Mimi nimekuwa natumia TV ya SONNY Triniton, Lakini sasa imechoka kwani rangi haionekani vizuri. Hivyo nataka kununua TV nyingine. Budget ni kama 700K hivi. Nimeshauriwa nininue Flat Screen ya StarTime.
Naomba ushauri juu ya UBORA wa TV hizi ama ushauri wa mbadala wake. Sijawahi tumia Flat Screen hapa nyumbani kwangu.
Natanguliza shukrani za dhati
Nyati