Flash modem yako bureeee

Flash modem yako bureeee

NDUGU zangu nimandika post ndefu juu ya kuflash modem za airtel na tigo bure coz sifanyi biashara.
kwa wale mnaowasiliana na mimi kuwa mnaitaka software ya kuflash modem,basi jitahidini kunipatia mawasiliano ambayo unadhani yatakusaidia wewe kuipata hiyo software.asanteni
tuijenge tanzania yetu kizalendo

Post yenyewe ipo hapa << HUAWEI UNLOCKER>>

habari mkuu, email yangu ni ...................
thanks in advance.
 
Back
Top Bottom