Modem mpya za tigo airtel na safaricom permanetly unlocked.......kwisha

Paje

JF-Expert Member
Apr 24, 2010
1,185
455
WAKUU HABARI
nimepata solution ya ku unlock hizi modem mpya za tigo E153 na zile za safaricom ya kenya na hizi airtel mpya za E173 ambazo hata temporary unlock zilikuwa hazitaki. sasa imepatikana solution.
tukiwachia mbali DC unlocker ambaye ana unlock permanetly kwa bei ya ghali kidogo 7 euro. (karibu buku 15) pia kuna website nyengine inafanya hiyo online unlocking kwa bei nafuu sana.
njia nyengine ni kutumia flashing box ya octopus. kama unamjua fundi simu mwenye box ya octopus kwa ajili ya ku unlock au kuflash inakuwa ni bure kabisa.(bila ya malipo)
kupata habari kamili soma hapa Octopus Suite v1.0.6 - added Write Firmware for Huawei E153 and E173 with new security type.
na kama unataka kudowwnload angalia hapa http://octopusbox.com/files/softs/install_octopus_suite_1.0.7.exe .
hizi modem mpya za airtel huwawei E173 zinaflashiwa na kuwekwa firmware nyengine ambaye tayari imekuwa unlocked. process yenyewe inachukua few seconds.......
 
baba hii ya kuhitaji BoX ilikuwa ipo muda sasa watu wanafanya kariakoo 20000! mimi nilijua umetupatia maujanja bure kabisa bila ya kuhitaji boxi
 
baba hii ya kuhitaji BoX ilikuwa ipo muda sasa watu wanafanya kariakoo 20000! mimi nilijua umetupatia maujanja bure kabisa bila ya kuhitaji boxi
kuna mshakaji anafanya kwa elfu kumi sio 20. anatumia online unlocking website lakini hataki kusema website gani. waulize hao wa kariakoo wanatumia website gani?
 
WAKUU HABARI
nimepata solution ya ku unlock hizi modem mpya za tigo E153 na zile za safaricom ya kenya na hizi airtel mpya za E173 ambazo hata temporary unlock zilikuwa hazitaki. sasa imepatikana solution.
tukiwachia mbali DC unlocker ambaye ana unlock permanetly kwa bei ya ghali kidogo 7 euro. (karibu buku 15) pia kuna website nyengine inafanya hiyo online unlocking kwa bei nafuu sana.
njia nyengine ni kutumia flashing box ya octopus. kama unamjua fundi simu mwenye box ya octopus kwa ajili ya ku unlock au kuflash inakuwa ni bure kabisa.(bila ya malipo)
kupata habari kamili soma hapa Octopus Suite v1.0.6 - added Write Firmware for Huawei E153 and E173 with new security type.
na kama unataka kudowwnload angalia hapa http://octopusbox.com/files/softs/install_octopus_suite_1.0.7.exe .
hizi modem mpya za airtel huwawei E173 zinaflashiwa na kuwekwa firmware nyengine ambaye tayari imekuwa unlocked. process yenyewe inachukua few seconds.......


paje usiwe unakuja na solutions ambazo hujawahi kufanyia majaribio.
octopusy has nothing to do na ulichoandika hapa.
binafsi ninayo.
hakuna kitu kama hicho?
niamini ndugu yangu. solution ipo ila octopusy not yet. nimewatumia full damp ila wameshindwa.
jaribu kuleta habari uliyofanyia majaribio na si vinginevyo.
 
yep for sure. nina fundi simu mshkaji wangu. amei flash kirahisi mno hii modem mpya ya huawei e173 za airtel. na ndio anayotumia yeye kuingilia net ya zantel.

amini maneno yangu. hizi zinazoanzia na imei 86..... octopasy hawawezi. fulstop! kama unabisha lets start a thread, au hapa hapa
 
sasa bwana calvin naomba utuhurumie mkuu hv had saiz nmeifungia hio modem kwenye trunker plz naomba utupe code
 
nna modem ya huawei e153-2u ya airtel nili fanikiwa ku update dashboard ila firmware ikagoma ikaandika its incompatible. firmware na dashboard nilipata hapa >>> Huawei E153 | huaweifirmware.blogspot.com kama kuna mtu anajua source ingine ya kupata izo vitu atupie hapo chini
 
WAKUU HABARI
nimepata solution ya ku unlock hizi modem mpya za tigo E153 na zile za safaricom ya kenya na hizi airtel mpya za E173 ambazo hata temporary unlock zilikuwa hazitaki. sasa imepatikana solution.
tukiwachia mbali DC unlocker ambaye ana unlock permanetly kwa bei ya ghali kidogo 7 euro. (karibu buku 15) pia kuna website nyengine inafanya hiyo online unlocking kwa bei nafuu sana.
njia nyengine ni kutumia flashing box ya octopus. kama unamjua fundi simu mwenye box ya octopus kwa ajili ya ku unlock au kuflash inakuwa ni bure kabisa.(bila ya malipo)
kupata habari kamili soma hapa Octopus Suite v1.0.6 - added Write Firmware for Huawei E153 and E173 with new security type.
na kama unataka kudowwnload angalia hapa http://octopusbox.com/files/softs/install_octopus_suite_1.0.7.exe .
hizi modem mpya za airtel huwawei E173 zinaflashiwa na kuwekwa firmware nyengine ambaye tayari imekuwa unlocked. process yenyewe inachukua few seconds.......
Asante kwa maujanja. Ila imetokea kwangu binafsi sijawahi fanya haya maujanja ya moderm, kama unalipa 30,000 na kupewa free access ya miezi 6!, maujanja ya nini?!.

Nimeinunu hiyo ya offer japo nimeambiwa ni miezi 6, within two weeks, bundle yao ya offer ilikwisha. Unarecharge kwa 150, unapewa 50 MB au Tafadhali chagua kati ya :- 25MB, 150MB, 250MB, 500MB, 1GB, 2GB, 3GB, 5GB, 8GB, 15GB, 20GB, INTERNET, SIKU, SAA, WIKI, MWEZI ama SALIO kwenda 15444,au piga *154*44#.Asante. Maujanja ya nini?.
 
amini maneno yangu. hizi zinazoanzia na imei 86..... octopasy hawawezi. fulstop! kama unabisha lets start a thread, au hapa hapa

tunazungumzia modem za airtel za huawei e173 za rangi nyeupe na chata la airtel jekundu. nipe mda nitakutumia step by step screenshot kuanzia flashing hadi unlocked state. kuwa mstahamilivu,
kuhusu imei inaanza na ngapi sina hakika lakini naomba uthibitishe zinatumia firmware number gani? isiwe tunazungumzia vitu viwili tofauti.
 
WAKUU HABARI
nimepata solution ya ku unlock hizi modem mpya za tigo E153 na zile za safaricom ya kenya na hizi airtel mpya za E173 ambazo hata temporary unlock zilikuwa hazitaki. sasa imepatikana solution.
tukiwachia mbali DC unlocker ambaye ana unlock permanetly kwa bei ya ghali kidogo 7 euro. (karibu buku 15) pia kuna website nyengine inafanya hiyo online unlocking kwa bei nafuu sana.
njia nyengine ni kutumia flashing box ya octopus. kama unamjua fundi simu mwenye box ya octopus kwa ajili ya ku unlock au kuflash inakuwa ni bure kabisa.(bila ya malipo)
kupata habari kamili soma hapa Octopus Suite v1.0.6 - added Write Firmware for Huawei E153 and E173 with new security type.
na kama unataka kudowwnload angalia hapa http://octopusbox.com/files/softs/install_octopus_suite_1.0.7.exe .
hizi modem mpya za airtel huwawei E173 zinaflashiwa na kuwekwa firmware nyengine ambaye tayari imekuwa unlocked. process yenyewe inachukua few seconds.......
kwa hiyo hii link ya software ya kudownload uliyotoa ni mpaka uwe na hiyo box au!?
 
tunazungumzia modem za airtel za huawei e173 za rangi nyeupe na chata la airtel jekundu. nipe mda nitakutumia step by step screenshot kuanzia flashing hadi unlocked state. kuwa mstahamilivu,
kuhusu imei inaanza na ngapi sina hakika lakini naomba uthibitishe zinatumia firmware number gani? isiwe tunazungumzia vitu viwili tofauti.
hizi nyeupe sijajaribu maana sinazo hizo. ila nimejaribu tigo hizi mpya na airtel zile nyekundu. imei inaanzia 86.... firmware ofcos sio problem kwani unapoflash unabadilisha firmware ili uweze kufanya patch unlock. ila ikiwa na imei inayoanzia 86... inakataaa.

jaribu za tigo halafu unijibu error unayopata au mafanikio.

check log


IMEI: 869604-00-633760-3
Connecting to server...OK
Username: New_test_user
Authorizing...OK
Octopus smart card is present.
Checking smart card...OK
Checking balance...OK
Checking operation...OK
Checking firmware version...OK

Switching to emergency mode...OK
Sending loader...Failed!

product supporter wakajibu hivi: Unfortunately, You have unsupported modem version.
 
Asante kwa maujanja. Ila imetokea kwangu binafsi sijawahi fanya haya maujanja ya moderm, kama unalipa 30,000 na kupewa free access ya miezi 6!, maujanja ya nini?!.

Nimeinunu hiyo ya offer japo nimeambiwa ni miezi 6, within two weeks, bundle yao ya offer ilikwisha. Unarecharge kwa 150, unapewa 50 MB au Tafadhali chagua kati ya :- 25MB, 150MB, 250MB, 500MB, 1GB, 2GB, 3GB, 5GB, 8GB, 15GB, 20GB, INTERNET, SIKU, SAA, WIKI, MWEZI ama SALIO kwenda 15444,au piga *154*44#.Asante. Maujanja ya nini?.

Mkuu rep power yako imekuaje?
REP.JPG
 
hizi nyeupe sijajaribu maana sinazo hizo. ila nimejaribu tigo hizi mpya na airtel zile nyekundu. imei inaanzia 86.... firmware ofcos sio problem kwani unapoflash unabadilisha firmware ili uweze kufanya patch unlock. ila ikiwa na imei inayoanzia 86... inakataaa.

jaribu za tigo halafu unijibu error unayopata au mafanikio.

check log


IMEI: 869604-00-633760-3
Connecting to server...OK
Username: New_test_user
Authorizing...OK
Octopus smart card is present.
Checking smart card...OK
Checking balance...OK
Checking operation...OK
Checking firmware version...OK

Switching to emergency mode...OK
Sending loader...Failed!

product supporter wakajibu hivi: Unfortunately, You have unsupported modem version.
umeona mkuu, modem iliyoshindikana hata kwa temporary unlock ni ya huawei E173 rangi nyeupe na chata la airtel la red. kama nilivyokwambia tutakuwa tunaongea modem tofauti.
 
wakuu habari
nimepata solution ya ku unlock hizi modem mpya za tigo e153 na zile za safaricom ya kenya na hizi airtel mpya za e173 ambazo hata temporary unlock zilikuwa hazitaki. Sasa imepatikana solution.
Tukiwachia mbali dc unlocker ambaye ana unlock permanetly kwa bei ya ghali kidogo 7 euro. (karibu buku 15) pia kuna website nyengine inafanya hiyo online unlocking kwa bei nafuu sana.
Njia nyengine ni kutumia flashing box ya octopus. Kama unamjua fundi simu mwenye box ya octopus kwa ajili ya ku unlock au kuflash inakuwa ni bure kabisa.(bila ya malipo)
kupata habari kamili soma hapa octopus suite v1.0.6 - added write firmware for huawei e153 and e173 with new security type.
na kama unataka kudowwnload angalia hapa http://octopusbox.com/files/softs/install_octopus_suite_1.0.7.exe .
Hizi modem mpya za airtel huwawei e173 zinaflashiwa na kuwekwa firmware nyengine ambaye tayari imekuwa unlocked. Process yenyewe inachukua few seconds.......

mkuu mambo vipi? Ebwana nimejaribu ku-unlock huawei e173 from airtel kwa kutumia software ya huawei modem unlocker v.5.7.7, imekubali temporary unlock.
 
Back
Top Bottom