AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Nimekuwa nikifatilia kwa makini mienendo na harakati za Dr slaa toka baada ya uchaguzi wa 2010 mpaka leo ktk M4C inayoendelea huko kusini, Ukweli Dr slaa ameonekana akiwa mwiba sana kwa CCM na kuwa chachu ya mabadiliko makubwa ya kisiasa hapa nchini.
Hebu kwenye ukweli tuseme ukweli ni nani kama Dr slaa? Kwanini CCM na wapenzi wake hawatamani CDM imsimamishe Dr slaa kugombea urais 2015?
Siku zote adui hawezi kukufundisha mbinu za kupigana vita ili mpigane nae wala simba hawezi kumfundisha yanga mbinu za ushindi.
CDM wake up 2015 Dr slaa awe flag barrier wa chama.
Note:
Haya ni maoni binafsi na sio ya chama.
Hebu kwenye ukweli tuseme ukweli ni nani kama Dr slaa? Kwanini CCM na wapenzi wake hawatamani CDM imsimamishe Dr slaa kugombea urais 2015?
Siku zote adui hawezi kukufundisha mbinu za kupigana vita ili mpigane nae wala simba hawezi kumfundisha yanga mbinu za ushindi.
CDM wake up 2015 Dr slaa awe flag barrier wa chama.
Note:
Haya ni maoni binafsi na sio ya chama.