Five Reasons Kenya Funds Evil Scenes in Ngorongoro Crater

Naimagine kama Ni wamasai wanaondolewa areas around Maasai mara kupisha mzungu atawale hunting sector!!!
Tweeeter haingekalika
Tungewasha moto kwote hadi serikali ikue nchi Ni ya wananchi
Hawa watu wa south Ni kumbafu sanaaaa!
Very ignorant bantus
Wamaa wanaondolewa eti ndio mwarabu apate nafasi ya kuwinda wanyama pori. Mwarabu, just imagine! Ingekuwa ni Kenya, matukio kama hayo yangewauma hadi wateso na wakuria wakiwa huko Western. Mzee Kenyatta hakukosea aliposema kwamba hawa majirani zetu ni maiti. Hawa wabantu ni waoga hadi inatia aibu.
 
Wamaa wanaondolewa eti ndio mwarabu apate nafasi ya kuwinda wanyama pori. Mwarabu, just imagine! Ingekuwa ni Kenya, matukio kama hayo yangewauma hadi wateso na wakuria wakiwa huko Western. Mzee Kenyatta hakukosea aliposema kwamba hawa majirani zetu ni maiti. Hawa wabantu ni waoga hadi inatia aibu.
Hahaha mbona jayden ako na shamba kila Mahali hapo? Jumlisha settlers kwenye Chai, maua na kahawa?

Wakunya mko mmejazana pipeline na slums za Nairobi... Pambaneni muchukue ardhi ya huyo mama's boy Kwanza ndio muongelee ishu ya Ngorongoro.
 
Issue ya Ngorongoro iliwahi tua bungeni kwenu. Bunge la taifa la Kenya. Unawezaje kusema ni 5% ndiyo wanaojua yanayojili huko kwa wamasai.
Hapo achilia mbali wale whistleblowers njaa wa mtaani.
😝 :p 😜
Jombaa mimi nazungumza kuhusu jambo ambalo ninaweza nikadhibitisha kwamba ni la kweli. Wakenya ambao huwa wanaingia kwenye jukwaa hili wanaweza wakatoa ushuhuda, kuhusu experience zao. Kila wanapojaribu kuzungumza na wakenya wengine kuhusu masuala au habari za Tz, ambazo huwa wanazipata humu Jf.

Nchini Kenya nobody gives a rat's a*s about Tz, honestly. Mnadhani wakenya huwa wanaketi kwenye vikao wakizungumza kuhusu masuala yenu? What a fallacy, asilimia kubwa ya wakenya wanamjua tu rais wa Tz, basi.
Kenya kuna wamaasai wengi sana kutoka Tz. Wanafanya kazi karibia zote za security mijini na biashara pia. K.m. maeneo ya Kamkunji, jijini Nairobi, Wa-Arusha wanawazidi wenyeji kwa ratio kubwa. Kwa hivyo maandamano kwenye ubalozi wa Tz haimaanishi kwamba watakaohudhuria ni wakenya tu.
 
Hahaha mbona jayden ako na shamba kila Mahali hapo? Jumlisha settlers kwenye Chai, maua na kahawa?

Wakunya mko mmejazana pipeline na slums za Nairobi... Pambaneni muchukue ardhi ya huyo mama's boy Kwanza ndio muongelee ishu ya Ngorongoro.
Walifurushwa Wamasai wangapi kwenye hayo mashamba unayoyazungumzia? Zero. Hebu walambeni waarabu makalio kwa raha zenu, wasiwasi mwingi ni wa nini?
 
The article is fake. Its written by a Tanzanian trying to stir up hate. Two anomalies here, Malaitu is not a Kenyan name, secondly, articles are not dated by country, but by city
Ndio maana nikashangaa, hakuna jina kama Mulaitu, kutoka kwa jamii yeyote ile nchini Kenya. Alafu hicho kiingereza ndomboloo sasa? Kichwa cha habari tu tayari wamechemsha. Ilifaa iwe, Five reasons WHY Kenya IS FUNDING evil scenes in Ngorongoro.
 
Jombaa mimi nazungumza kuhusu jambo ambalo ninaweza nikadhibitisha kwamba ni la kweli. Wakenya ambao huwa wanaingia kwenye jukwaa hili wanaweza wakatoa ushuhuda, kuhusu experience zao. Kila wanapojaribu kuzungumza na wakenya wengine kuhusu masuala au habari za Tz, ambazo huwa wanazipata humu Jf.

Nchini Kenya nobody gives a rat's a*s about Tz, honestly. Mnadhani wakenya huwa wanaketi kwenye vikao wakizungumza kuhusu masuala yenu? What a fallacy, asilimia kubwa ya wakenya wanamjua tu rais wa Tz, basi.
Kenya kuna wamaasai wengi sana kutoka Tz. Wanafanya kazi karibia zote za security mijini na biashara pia. K.m. maeneo ya Kamkunji, jijini Nairobi, Wa-Arusha wanawazidi wenyeji kwa ratio kubwa. Kwa hivyo maandamano kwenye ubalozi wa Tz haimaanishi kwamba watakaohudhuria ni wakenya tu.
Eti asilimia kubwa ya wakenya wanamjua tu rais. Wakati kondeboy tu from mtwara ni big name hapo kunya land.
Jamaa uko na ma emotional kama shoga vile. Unajitesa bure.
 
Eti asilimia kubwa ya wakenya wanamjua tu rais. Wakati kondeboy tu from mtwara ni big name hapo kunya land.
Jamaa uko na ma emotional kama shoga vile. Unajitesa bure.
Kondeboy ndio nani? Anyway context yangu ilikuwa ni kuhusu masuala ya kisiasa na yanayoendelea ngorongoro. Ndio maana nilimtaja rais, kiongozi aliye kwenye nafasi ya juu kabisa.
Jombaa, kesha kwenye media za Kenya hata wiki moja ukitaka. Kwenye magazeti, Tv. ukiflip channels. Nakuhakikishia kwamba hutaona habari zozote kuhusu Tanzania.

Wakenya hawawafahamu viongozi wenu, kwa mfano naibu rais, waziri mkuu, n.k. Huwa napata wakati mgumu sana kuwaeleza, hata jina tu la chama lenu tawala, CCM. Wakenya wa jukwaa hili na watanzania pia, ambao wamefika Kenya, wapo na wataeleza kama nilichosema ni uongo.
Kuhusu emotion na ushoga, hapo uwanja ni wako, ukipenda utatueleza mengi zaidi maanake hiyo sio fani yangu.
 
Walifurushwa Wamasai wangapi kwenye hayo mashamba unayoyazungumzia? Zero. Hebu walambeni waarabu makalio kwa raha zenu, wasiwasi mwingi ni wa nini?
Halafu nakuheshimu sana maana najua wewe ni mtu wa jeshi ya damu... Ila Kwa comments zako hizi unazingua sana budaa..

Watu wamekamata mashamba Kenya huko wanalima maua nyie mnakufa njaa na kutegemea mahindi ya msaada Halafu uko hapa kupanua mdomo ishu ya Ngorongoro! Ina impact gani Kwa mkunya?
 
Halafu nakuheshimu sana maana najua wewe ni mtu wa jeshi ya damu... Ila Kwa comments zako hizi unazingua sana budaa..

Watu wamekamata mashamba Kenya huko wanalima maua nyie mnakufa njaa na kutegemea mahindi ya msaada Halafu uko hapa kupanua mdomo ishu ya Ngorongoro! Ina impact gani Kwa mkunya?
Wewe ukiwa huko kwenu Kolomije itakufaidi nini mmasai akidhulumiwa kwa faida ya mwarabu? Eroo, ke moda? Homo noo nkaimoguarani!
 
Naimagine kama Ni wamasai wanaondolewa areas around Maasai mara kupisha mzungu atawale hunting sector!!!
Tweeeter haingekalika
Tungewasha moto kwote hadi serikali ikue nchi Ni ya wananchi
Hawa watu wa south Ni kumbafu sanaaaa!
Very ignorant bantus
Ninyi mlioshindwa kurudisha ardhi yenu iliyochukuliwa na familia za Kenyatta na wanasiasa wenzake licha ya kamati ya kitaifa iliyoundwa na Bunge lenu kuchunguza dhuluma ya ardhi Kenya kushauri kwamba ardhi yote irudishwe serikalini ili igawanywe upya kwa wananchi wote

Sisi tunaunga mkono 100% kwa serikali kuwafukuza hao wamaasi Ngorongorio ili warudi kwao Kenya ambako hakuna ardhi ya kutosha, ardhi yote ipo chini ya wazungu na wanasiasa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wamaa wanaondolewa eti ndio mwarabu apate nafasi ya kuwinda wanyama pori. Mwarabu, just imagine! Ingekuwa ni Kenya, matukio kama hayo yangewauma hadi wateso na wakuria wakiwa huko Western. Mzee Kenyatta hakukosea aliposema kwamba hawa majirani zetu ni maiti. Hawa wabantu ni waoga hadi inatia aibu.
Huyo huyo mzee Kenyatta ndiye aliyejigawia zaidi ya 25% ya ardhi yenye rutuba Kenya na mnashindwa kuirudisha matokeo yake mnakufa njaa kila mwaka. Hao Maasai lazima watolewe warudi Kenya na hakuna lolote mtatufanyia.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana nikashangaa, hakuna jina kama Mulaitu, kutoka kwa jamii yeyote ile nchini Kenya. Alafu hicho kiingereza ndomboloo sasa? Kichwa cha habari tu tayari wamechemsha. Ilifaa iwe, Five reasons WHY Kenya IS FUNDING evil scenes in Ngorongoro.

🤣 😝
Eti huyu ndiyo anajua kuhariri kiingereza.
 
Wewe ukiwa huko kwenu Kolomije itakufaidi nini mmasai akidhulumiwa kwa faida ya mwarabu? Eroo, ke moda? Homo noo nkaimoguarani!
Hahah Eroo tulia... Kwetu kolomije..

Wacha wapunguze Watu kidogo. Manyata zimejaza mbuga yote Sasa... Baada ya muda itakuwa Sio mbuga tena ni makazi ya Watu.

Na ki ikolojia Sio vizuri wanyama wa kufugwa kuchangamana na hawa wa pori.. Kuna magonjwa na usugu wa dawa utazaliwa. Hapa tatizo ni raia kuweka siasa kwenye kila jambo.
 
By James Mulaitu, Kenya
June 13, 2022

Sponsored media and special tasks in my country (Kenya) are now busy misleading the world through false videos, and pictures creating artificial scenes showing the Maasai in Ngorongoro crater badly beaten, injured, admitted, and treated in Kenyan hospitals.

All of these scenes are created and disseminated on one fabricated theme: "the government is forcing the Maasai out of their native villages to allow the UAE and some western countries to use the land for their hunting safaris."

As a Kenyan and frequent tourist in the crater as well as the neighbor, I am convinced that Kenya is sponsoring these fabricated scenarios to tarnish Tanzania’s image internationally and dwarf all economic strategies engineered by President Samia Suluhu’s government that may soon outsmart the Kenyan economy.

Tanzania-Kenya Oil Pipeline, Kenya is not happy with the decision of Uganda to route its oil exports through Tanzania after a report found the country was a cheaper and more secure option than in the already signed deal that has angered Kenya, Uganda will use Tanga, a seaport city about 200km north of Dar es Salaam, to export its crude oil rather than Lamu in Kenya. The project is envisaged to create 15,000 jobs in Uganda and Tanzania.

Uganda’s decision not to partner with Kenya is a major blow to the region’s biggest economy and could have strained underground relations in the bloc as well as Tanzania. Kenya has recoverable oil reserves of up to 750 million barrels, dwarfed by Uganda’s recoverable reserves of 1.8 billion to 2.2 billion barrels (pdf).

The Royal Tour, The government of Kenya is not happy with the "Royal Tour" documentary film, officiated by President Samia in the US and spread to all parts of the world with the aim of promoting and marketing Tanzania’s tourism in the world.

Kenya is in a great panic that the film, which has been well received around the globe, will dwarf its tourism sector. That is why it is fighting hard to damage the Ngorongoro crater, which is one of the few tourist attractions in the world with humans living wild animals.

In the period from January to April 2022, 367,632 tourists visited Tanzania. This is an increase of 92,535 tourists, equivalent to +33.6% compared to the 275,097 tourists who entered the country during a similar period in 2021.

The number of tourists arriving in 2022 is expected to increase more than the number of tourists recorded before the COVID-19 pandemic due to the government’s efforts to promote tourist attractions such as national parks, beaches, Mount Kilimanjaro, and game reserves.

Mount Kilimanjaro, It is now clear that Kenya is not happy with Mt. Kilimanjaro being found in Tanzania. There is a big campaign in Kenya via social media and other outlets telling the tourism world using the hashtag # we are happy to offer a 13-day expedition that will not take you to the summit of Kilimanjaro but will first take you to the summit of Mount Kenya, 5,199m. And, as a result of that first climb, you will get all of the acclimatizations you need for the second one.

Dar es Salaam Port, The heat from Kenya’s campaigns ahead of the August 9 General Election is affecting the flow of goods on the Northern Corridor, with Tanzania benefiting from the windfall as more cargo destined for the Great Lakes region is diverted to the Dar es Salaam port.

With memories of the 2007/08 post-election violence that disrupted transport on the corridor still fresh and a $63 million compensation award ordered by a Nairobi court still pending many importers, especially Ugandans and Rwandans, are opting for the Central Corridor.

Due to this cargo flight, transit volumes through the Dar es Salaam port to the Central Corridor have recently recorded significant growth as Mombasa registers plateaued or declining volumes of goods on the northern route. This has badly angered Kenya.

According to the latest Mombasa Port Corridor Community Charter report, transit volumes through the Dar es Salaam port grew by 21 percent in 2021, while those through the port of Mombasa declined by 6.2 percent in the same period. This badly angers Kenya.

Serengeti wins as Africa's leading national park, Kenya is not happy with the declaration of Tanzania's Serengeti as the 2021 Africa's leading national park, the Tanzania National Parks (TANAPA) by the World Travel Awards (WTA). It should be noted that Serengeti has won this award for the consecutively three tears (2019-2021) and no any Kenyan park has managed to tread.

This increases Kenya’s anger. That is why it is a big campaign to damage Tanzania’s tourism industry using its own created and fabricated scenes in Ngorongoro.
An outright porojo, a clear fabrication., hii ni mwendawazimu na kilaza ndio ataamini, which Kenya? mitanzania mbona mnajishuku sana? kila kitu kulaumu Kenya, ufukara wenu tatizo ni Kenya, ujinga tatizo ni Kenya, underdevelopment Kenya ndio chanzo.., idiots 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kwahiyo hata yule dada toka Nigeria aliyesema alibakwa kule Zanzibar, na ninyi mkaanza kutangaza Dunia nzima na kujaribu kuitangaza Dunia kwamba Zanzibar sio salama kwa watalii pia ni jamii Moja na ninyi?. Hiyo article hapo juu imezungumzia ukweli mtupu. Kenya mnatuogopa Sana, na mko na wivu Sana kwa Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenya haiwaogopi. Inaogopa ujinga yenu ju mnaweza uza Mali ya waafrika Kwa waarabu nyinyi. Mnaletaje waarabu kuwinda Wanyama Pori Kwa ardhi ya Wamaasai.
 
Changa la macho.

This seems to be a well sponsored 'Diversion'. from the real issue...

Genocide
I will stand by this, assertively.
 
Back
Top Bottom