joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Hivi Ile ardhi yote mliyonyang'anywa na Jommo Kenyatta na ardhi kubwa inayomilikiwa na Del Monte na wazungu wengine, matokeo yake wakenya wengi wanakufa kwa njaa, mbona hamuizungumzii badala yake mnazungumzia ardhi ya Tanzania?Kenya haiwaogopi. Inaogopa ujinga yenu ju mnaweza uza Mali ya waafrika Kwa waarabu nyinyi. Mnaletaje waarabu kuwinda Wanyama Pori Kwa ardhi ya Wamaasai.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app