Five Money Questions You Must Ask Your Man

Kama ni kweli watu bongo bado wanatumia mbinu hizi kuhalalisha uhusiano, basi wengi wao wanaingia mkenge kirahisi mno. Maana asilimia kubwa za familia zinazojulikana kama za kitajiri (hasa zile za old money) zimeshachoka mbaya long time. Kilichobakia ni jina na majivuno ya kulinda heshima....lakini mfukoni kweupeee.

Usomi hau-guarantee maisha mazuri, na ubosi umejaa "show-of" ya company resources (nyumba, magari, viji safari vya hapa na pale), lakini akaunti haziko stable. Ukitaka kujua ukweli ngoja ubosi huo umwagiwe unga.

Dizaini watu bado wanaingizwa kanyaboya kwa sana tu...:)

QM,
Pamoja na maneno mazuri uliyosema hapo juu, bado hujahitismisha vizuri.Unadhani ipi ni ideal situation?
Hii mada inafurahisha sana maana ukianza kuijadili, mawazo na mitizamo ya kila aina inajitokeza:
1.Ni mzazi gani asiyetaka mwanae awe na maisha mazuri? Mara nyingi sana wazazi wa binti husumbuka na kufadhaika sana pale wanapoona au kuhisi kuwa binti anataka kuolewa na bwana asiye na mwelekeo kimaisha.Kuna baadhi inasemekana hata huwapiga interview hao wanaotaka kuposa na maswali na majibu ni kama hivi-
Q. una nyumba?
A.HAPANA
Q.UNA GARI
A.HAPANA
Q.UNA kazi , biashara (PESA)
A.HAPANA
Q.UNA DEGREE
A.HAPANA
Q.UNA DIPLOMA
A.HAPANA
Q. SASA HAPA UMEFUATA NINI?

Kwa maana nyingine mzazi anapima ni kwa vipi muoaji atamudu kuendesha familia kama hana kitu chochote hata angalu cheti ( elimu ni ufunguo wa maisha!)
Huu ni ukweli jamani hata tukikataa....
 
QM,
Pamoja na maneno mazuri uliyosema hapo juu, bado hujahitismisha vizuri.Unadhani ipi ni ideal situation?
Hii mada inafurahisha sana maana ukianza kuijadili, mawazo na mitizamo ya kila aina inajitokeza:
1.Ni mzazi gani asiyetaka mwanae awe na maisha mazuri? Mara nyingi sana wazazi wa binti husumbuka na kufadhaika sana pale wanapoona au kuhisi kuwa binti anataka kuolewa na bwana asiye na mwelekeo kimaisha.Kuna baadhi inasemekana hata huwapiga interview hao wanaotaka kuposa na maswali na majibu ni kama hivi-
Q. una nyumba?
A.HAPANA
Q.UNA GARI
A.HAPANA
Q.UNA kazi , biashara (PESA)
A.HAPANA
Q.UNA DEGREE
A.HAPANA
Q.UNA DIPLOMA
A.HAPANA
Q. SASA HAPA UMEFUATA NINI?

Kwa maana nyingine mzazi anapima ni kwa vipi muoaji atamudu kuendesha familia kama hana kitu chochote hata angalu cheti ( elimu ni ufunguo wa maisha!)
Huu ni ukweli jamani hata tukikataa....

Negative.

Kama ni kweli wazazi wanauliza haya maswali kwa prospect in-laws wao, basi wanafanya kosa kubwa sana. Japokuwa ni kweli kwamba hakuna mzazi anayetaka mtoto wake apate shida ya uchumi kwenye maisha ya ndoa, lakini kumuhoji mkwe mtarajiwa ni dalili tosha ya udhaifu katika familia hiyo. Kwanza, kama ni mimi ndio nawekwa kitimoto na wazazi wa mke mtarajiwa na kuulizwa maswali ya aina hiyo, wazo la haraka haraka litakalonijia ni kuwa hii familia iko 'closed-minded' and 'dismantled'. To me, that's a straight up red-flag.

Kwa maana nyingine mzazi anapima ni kwa vipi muoaji atamudu kuendesha familia kama hana kitu chochote hata angalu cheti ( elimu ni ufunguo wa maisha!)

Kwa nini mzazi ndio apime? Kwa nini mapimo hayo yasifanywe kati ya wapendanao hao?

Mzazi wa binti kujadili jinsi gani mkwe mtarajiwa ataweza kumudu uendeshaji wa familia, ni dalili tosha ya "mzazi-ng'ang'anizi"...i.e. wale wazazi kutwa kucha wananusanusa ndani ya ndoa za watoto wao kutaka kujua kila kitu kinachoendelea humo. In my opinion, familia yenye wazazi wa aina hii ni familia ya kuiogopa kama 'ukoma.'

Unadhani ipi ni ideal situation?

Hili ndilo swali la msingi. Labda nili-rephrase kidogo hili lilete maana zaidi:-

Unadhani ni mbinu zipi zinafaa kutumika katika kutaka kujua financial situation za mwezi (both female and male) kabla ya kuji-commit fully?

For God's sake, wazazi hawapaswi kujihusisha kabisa (directly) kwenye majadiliano ya finances za watoto wao wanaotaka kuungana kindoa. The most they can do ni kujadiliana na mtoto wao kuhusu masuala haya. Lakini ku-cross over na kumchachafya kwa maswali mkwe mtarajiwa ni No No. Period. Of course, if it's really really necessary, mzazi atapaswa kum-feed mtoto wake mbinu/umuhimu wa kujua financial situation ya mwenzi wake kabla ya kuji-commit.

Tukirudi kwenye swali muhimu - kwa Tanzania sidhani kama ni kazi ngumu (kwa yeyote anayejali) kujua mwenzako ana uchumi wa aina gani. I mean, kuna ugumu gani kujua kama bwana wako ana nyumba au hana, ana kazi au hana? Labda pengine unaweza usijue kirahisi kama ana kisomo na/au akaunti yake benki ina hela, lakini as time turns the pages utajua tu sooner.

Ninaamini wale wadada wanaodanganywa (na wanaume kuwa wana nyumba na kazi mzuri, wakati hawana) ni upumbavu wao tu na/au tamaa zao ndizo zinazowafanya wawekwa sawa kirahisi. Mwanaume hawezi kukudanganya kuwa anaishi kwenye nyumba yake Sinza, halafu kila siku mnakutana baa na kuishia gesti huko Temeke AU hawezi kukudanganya anafanya kazi hazina, halafu kila siku mnakutana mida ya kazi Tabata relini. I mean, where is the conciusness?
 
Ohh Topic nzuri sana kwa wale ambao hatujaoa,hawajaoa,kuolewa na wazazi pia.
Nimeipenda na inatoa mwangaza nzuri....

Kwa kweli penzi lenye msingi wa pesa mara zikikatika huwa ni ngumu kuendelea..sasa ni vipi pesa inatakiwa play part na katika mtindo upi..?Umemuona dada mzuri na unataka kuongea nae anakupa nafasi hiyo kwenye daladala,barabarani,kazini kueleze muhtasari au agenda..mfano umemkuta customer care celtel shop.

Anasema atakuwa na muda jioni baada ya kazi au mwambie kesho mtakutana wapi...unaweza mwambie mkutane kwa chakula...Vizano hotel ambako hakuna watu wengi.....pesa lazima ishachukua part hapo..

Unaiondoaje kwenye Equation hiyo pesa?Na inasemakena hutakiwi mwanzoni kueleza ukweli wote kama una nyumba,gari au elimu ili akupende kama ulivyo...

Which naona kama ni topic muendelezo kabla ya kufika kwenye main topic si lazima kuwe na starting point unaweza muuliza za kazi na vingine anaishi wapi.

Kuna ufafanuzi kuhusu hili?
 
Mtizamo wangu ni kuwa kama hutakuwa na haraka ya ndoa na mkachukua time yenu kufahamiana zaidi maswala yote haya yatajijibu bila hata kuuliza, ila pale inapotokea kuwa ni lazima ndoa ifanyike na shughuli zinaanza haraka haraka kama vile emergency then inakuwa rahisi kuwa suprised kwa sababu some people are not what they claim to be. Time is the answer to most situations and time will provide accurate answers kwa maswali yote ya finance, kazi na social status zingine. Kwa mila na desturi zetu za ki-TZ kuna vitu vingine inakuwa vigumu kuuliza ila with time on your hand mambo yote yatajulikana, sina maana usiulize chochote kwa sababu katika mahusiano kuna colors nyingi za love, kuna zile zinazopendelea kuongea na kuwa wazi na zingine zinapendelea kuulizwa au kuficha vitu as long as you are down with hilo boga na mauwa yake, then hakuna haja ya ku-rush vitu hadi mtu umeridhika au umepata majibu ya maswali au duku duku zilizomo moyoni.
 
Ohh Topic nzuri sana kwa wale ambao hatujaoa,hawajaoa,kuolewa na wazazi pia.
Nimeipenda na inatoa mwangaza nzuri....

Kwa kweli penzi lenye msingi wa pesa mara zikikatika huwa ni ngumu kuendelea..sasa ni vipi pesa inatakiwa play part na katika mtindo upi..?Umemuona dada mzuri na unataka kuongea nae anakupa nafasi hiyo kwenye daladala,barabarani,kazini kueleze muhtasari au agenda..mfano umemkuta customer care celtel shop.

Anasema atakuwa na muda jioni baada ya kazi au mwambie kesho mtakutana wapi...unaweza mwambie mkutane kwa chakula...Vizano hotel ambako hakuna watu wengi.....pesa lazima ishachukua part hapo..

Unaiondoaje kwenye Equation hiyo pesa?Na inasemakena hutakiwi mwanzoni kueleza ukweli wote kama una nyumba,gari au elimu ili akupende kama ulivyo...

Which naona kama ni topic muendelezo kabla ya kufika kwenye main topic si lazima kuwe na starting point unaweza muuliza za kazi na vingine anaishi wapi.

Kuna ufafanuzi kuhusu hili?

Buswelu,
Nadhani suala sio 'excess' ya finance iliyomo/itakayokuwa ndani ya ndoa. Bali ni 'enough' finance ya kuweza kutake care shughuli zote muhimu ndani ya ndoa. So finance situation is still a major variable of any relationship equation.

Na yeah, sidhani kama ni wazo zuri ku-pull hiyo variable katika date. Kwanza, sidhani kama kuna umuhimu wa kutaka kujua mfuko wa date yako. Kinachozungumzia hapa ni only kwa wale wanaotaka kujifunga pamoja, na sio just ku-date.
 
Swali la msingi je kati ya hayo yote unayouliza wewe unaehitaji kujua hivyo vitu unavyo? Maana huwezi kua unataka mtu awe na vitu wakati wewe huna
 
Back
Top Bottom