Fitness and wellness


Yani we mkuu ni Fundi,aka mtaalamu..umenikosha sana kwenye bodybuilding na supplements..safi sana n big up.
 
Natafta tiba ya bloating, kwa kiswahili nadhani ni tumbo kujaa gesi sijui
I have a flat tummy asubuh hadi mchana ikifika usiku my lower tummy imejaa gesi na linaumuka,haliumi linaboa tu..
Nini solution,? Mazoezi Yapi yanazuia bloating?
 
Natafta tiba ya bloating, kwa kiswahili nadhani ni tumbo kujaa gesi sijui
I have a flat tummy asubuh hadi mchana ikifika usiku my lower tummy imejaa gesi na linaumuka,haliumi linaboa tu..
Nini solution,? Mazoezi Yapi yanazuia bloating?

Hapo ufumbuzi unaweza kuwa vitu unavyokula au kunywa.

Huwa unakunywa vinywaji vyenye caffeine nyingi [kama vile soda za Coca-Cola na Pepsi-Cola, kahawa, n.k]?

Jaribu kuangalia vyakula ulavyo na vinywaji unywavyo.

Yaweza pia kuwa una vidonda vya tumbo. Jaribu kufuatilia kuhusu hilo pia.

Ila la msingi kwa sasa ni angalia aina ya vyakula ulavyo na vinywaji unywavyo.

Pia unaweza kutumia over the counter anti-acids kama Zantac na Gas-X.

 
Ntajaribu kuacha chai na Kahawa nione..
 
Mada nzuri sana, ninapenda kufanya mazoezi, japo wakati mwingine muda unakuwa issue, sikumbuki height yangu but nna 78kgs na kwa kweli nilishaambiwa angalau nifikishe 70. Sijawah hata kugusa. Sinwyi soda wala pombe, sili red meat, juice mara nyingi sana hutumia nyumbani. Nina watoto wawili, sina tumbo kiviiile but natamani lipungue zaidi. Nimekunywa maji ya limao na mdalasini (lemonade) yalochanganywa na asali, yamefanya mwili upungue japo uzito uko palepale, sina mazoea ya kula usiku mara nyingi, unlesa njaa iniume sana. Nikiwa na muda huwa nakimbia uwanja wa mpira mara mbili, naruka kamba mara 200-300, na mazoezi mengine ya tumbo.
Hivi sasa niko likizo pamoja na yote hayo nifanyayo nishaanza kujiona nagain weight. Ajabu sign ya kwanza kunionesha nimenenepa ni mikono. Yaani mikono ni mikubwa mno! Em nishaurini mazoezi ya kufanya nipungue kila kiungo cha mwili wangu, hasa mikono. Asanteni sana
 
Mkuu hayo maji ya limao unaweza nisaidia maandalizi yake na matumizi?
 
Mnnnh. Sasa usikae unachekelea tu. Vaa condom inayoendana na size yako.
 
Mkuu hayo maji ya limao unaweza nisaidia maandalizi yake na matumizi?
Kuna formula maalum, ila huwa siifuati hiyo. Nadhani ni mzizi mkavu aliitoa hiyo.
Ila nifanyacho mimi, ni kuchemsha maji lita moja naweka na mdalasini kiasi kama ni wa unga weka nusu kijiko cha chai. Ikishachemka huwa nakamulia limao na asali mbichi vijiko vya chakula viwili. Nakunywa yakiwa ya moto asubuhi kabla sijatia kitu kinywani. Ni tiba ya magonjwa mengi, na pia inakata sana mafuta na hivyo kupunguza kitambi. It really works ila haipunguzi uzito, inapunguza unene.
 
Thanks ..
sasa ukikosa kimoja wapo kati ya hzo ingredients (asali) nitaharibu tiba?
vp baada ya kunywa hayo maji naweza nikapata ka breakfast yyte?
 
Thanks ..
sasa ukikosa kimoja wapo kati ya hzo ingredients (asali) nitaharibu tiba?
vp baada ya kunywa hayo maji naweza nikapata ka breakfast yyte?
Kwa kweli niliwahi ishiwa limao nikaweka mdalasini na asali tu, haikuwa na ladha nzuri, sikuipenda, sijawahi kutoweka asali, so waweza jaribu.
Breakfast unapata bila taabu baada ya kama saa moja hivi tangu unywe maji hayo, ila angalia ulacho. Coz you are what you eat. Kwa mfano km mimi kwa sasa nauogopa ugali. Unaninenepesha muno!
 
Naomba nikumegee plan ya chakula kuwa free kunikosoa
Asubhi hayo maji ± juisi nikifika kazini
mchana matunda na maji pekee
usiku ndo chakula cha kawaida
je nipo sahihi? au nichanganye kipi kwa mda gani?
thanks in advance
 
Naomba nikumegee plan ya chakula kuwa free kunikosoa
Asubhi hayo maji ± juisi nikifika kazini
mchana matunda na maji pekee
usiku ndo chakula cha kawaida
je nipo sahihi? au nichanganye kipi kwa mda gani?
thanks in advance
Wengi sana wanaogopa kutokula usiku kwa madai ya kwamba hawatalala, chakula cha usiku ndicho kinenepeshacho coz unakula then waenda kulala, hiyo hufanya chakula kisitawanyike mwilini ipasavyo (am not a biologist) so kinaenda kujaza sehemu chache tu za mwili. Matumbo kwa akina baba na makalio kwa akina mama. Na mbaya zaidi tunakula late hours saa 2 na kuendelea. Ukitaka matokeo mazuri ya mwili wako kula zaidi matunda usiku
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji121] Ubarikie mkuu from now to january acha ni practise nahv mke wangu hayupo mwezi wote huu nitafanya diet yangu safiiiii akija lazima anisahau kitambi kimeyeyuka...
Nb.
najua bia zinanenepesha na mm huwa napedelea wikend nipate walau bia mbili nikiwa namchek pogba vp niache niamie kwenye hard drinks ?
 
Pamoja mkuu, afu ukipunguza kitambi utakuwa vizuri kwenye yale mambo yetu. Kuhusu bia siwezi kusema chochote coz mi si mnywaji, hata soda hunywa occasionally.Fanya kinywaji chako pekee kiwe maji.
 
Pamoja mkuu, afu ukipunguza kitambi utakuwa vizuri kwenye yale mambo yetu. Kuhusu bia siwezi kusema chochote coz mi si mnywaji, hata soda hunywa occasionally.Fanya kinywaji chako pekee kiwe maji.
Dah nitajitahd mkuu asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…