Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Nadhani wewe ni nabii TITO.Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
Uislamu umekamilika Mash'Allah 😍Uislam dini ya haki toka lini, unasemaje kuhusu kutupiana majini, kuchinjana, kusomeana albadiri, kuvaa mabomu mwilini na kujilipua?
Unasali kanisa gani tuanzie hapo 🤔Kaka kwani ukristo sio dini ya haki ?
Ukafiri n8 janga Mungu huchagua ampendaeNi vema na khaki ndugu zanguni mtu kufanya chochote anachotaka ilimradi asivunje taratibu za nchi.
Monetary doctor ndugu yangu katika imani wasema nini hapa.
RCUnasali kanisa gani tuanzie hapo 🤔
kwa njia yake pamoja naye na ndani yake wewe Mungu baba Mwenyezi katika umoja wa Roho Mtakatifu unatupa heshima yote na utukufu milele na aa milele
Dunia nzima!?.. waislam ni zaidi ya robo ya dunia,wapo kila nchi, UK wameshakua waziri mkuu, Scotland waziri 'mkuu',mamdani anatetemesha New York, biblia inasemaje kuhusu wahubiri wake kupigwa vita na wengi!?Never, Uislam si dini ya mtu anayependa haki kuifuata....jiulize kwanini dunia nzima inaipinga hiyo dini?
Na wasukuma wasikitike hivihivi waking'amua hujui kabisa kisukuma!?Ila mwamba kingereza hujui kabisa asee dah!
Anatumia akili kuteka akili za warabu ili aendelee kuaminiwaKishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
So kuna kasoro gani hapa mkuukwa njia yake pamoja naye na ndani yake wewe Mungu baba Mwenyezi katika umoja wa Roho Mtakatifu unatupa heshima yote na utukufu milele na aa milele
Kwa kufuata maagizo ya bwana Yesu kristo tunathubutu kusema,
Baba Yetu........
Kwakua ufalme ni wako
Na nguvu na utukufu hata milele,
Eeh bwana Yesu uliyewaambia mitume wako, amani yangu nawapa amani yangu nawaachieni, usitizame dhambi zetu Ila imani ya kanisa lako,
Unayeishi na kutawala daima na milele,
Tazama mwanakondoo wa Mungu Tazama aondoaye dhambi za ulimwengu heri yetu tulioalikwa karamuni ,
Eegh bwana sistahili uingie kwangu lakini sema neno tuu na Roho yangu itapona,,
Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani...So kuna kasoro gani hapa mkuu
Mkuu kwa hapa 🤔Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani...
Ulikamilishe katika upendo pamoja na baba Mtakatifu Leo, Askofu wetu Yuda Thadei Ruwaichi na msaidizi... Pamoja na waklero wote,
Uzisikilize kwa wema Sala za jamaa hii iliyokusanyika mbele yako,
Na kwa maombezi matukufu ya bikira Maria pamoja na watakatifu wote waliokupendeza tangu kale
uwakumbuke ndugu zetu marehemu uwapokee kwenye Nuru ya uso wako,
Basi kama hujaelewa mpka hapa kaka utakuwa unazingua sana
Nimezaliwa kwenye moja takatifu, la mitume mimi mkatolikiii cc DIVISHENI FOO secretarybird
Nipe dondoo kidogo kuhusu uislamu kama unavyosema wewe kuwa uislamu ni dini ya hakiEeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani...
Ulikamilishe katika upendo pamoja na baba Mtakatifu Leo, Askofu wetu Yuda Thadei Ruwaichi na msaidizi... Pamoja na waklero wote,
Uzisikilize kwa wema Sala za jamaa hii iliyokusanyika mbele yako,
Na kwa maombezi matukufu ya bikira Maria pamoja na watakatifu wote waliokupendeza tangu kale
uwakumbuke ndugu zetu marehemu uwapokee kwenye Nuru ya uso wako,
Basi kama hujaelewa mpka hapa kaka utakuwa unazingua sana
Nimezaliwa kwenye moja takatifu, la mitume mimi mkatolikiii cc DIVISHENI FOO secretarybird
When in Rome, do as the Romans do mbona mzinze pale yanga ili apewe namba ilibidi aslim awe muislamujI will be short
Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.
Kibongo bongo
Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa
View attachment 3401021
===
Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu
Katikati ya mafanikio yake ya soka, kumekuwa na taarifa kwamba Mayele amepitia mabadiliko makubwa ya kibinafsi. Kwa mujibu wa mwandishi mashuhuri wa michezo wa Misri, Amr El Dardir, ambaye ana zaidi ya wafuasi milioni 1.5 kwenye Facebook, mshambuliaji huyo amesilimu na kujiita jina la “Mahmoud Mayele.”
Ingawa Mayele bado hajatoa tamko rasmi kuthibitisha kusilimu kwake, vyanzo vinaeleza kuwa uamuzi huo ulifanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hatua hiyo iliyoripotiwa imepokelewa vyema na mashabiki pamoja na wachezaji wenzake, wengi wakimsifu kwa ujasiri wake wa kuukubali imani mpya katika kipindi muhimu cha taaluma yake.
Source: MSN
AlhamdululahAsalam aleykum shekhe, khairy ?
Hapana Mungu mwingine isipokuwa mola mlezi wetu ambaye ni Allah Hana mshirika na yeyote na wala kitu chochote,
Takbir
Alhamdullilah 🙏Alhamdululah
YesUkafiri n8 janga Mungu huchagua ampendae
Hapana mimi ni mume wa mtoto Aisha, Muddy. Kama uamini basi ni sisi hapa chini tukiwa faragha tunajiandaa kwa shughuli.Nadhani wewe ni nabii TITO.