First year washaanza kukinukisha mitandaoni

Sasa mzee si umuache afurahie na kumshukuru mungu wake usikute ndo wewe huyu umekuja kutuletea porojo hapa
 
Acha afurahie, mana msoto wa A-Level sio wa Kitoto!

Afu hiyo picha ya kushoto imepigwa Rungwe Boys.

Nilisoma na kuhitimu A-Level hapo!
 
Ni sawa kushukuru kwa kila jambo. Huwezi jua kapitia mangapi hadi kuupata huo mkopo
 
Kufurahia ni Jambo zuri,wewe ulitaka akose ili aje kulalamika huku kwamba kakosa mkopo,then uanze kumfariji
 
Mbona sijanusa hiyo harufu kwenye huu uzi...!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…