First time's an accident. Second time's a coincidence. Third time's a trend!


Ngambo ngali ukisoma vizuri utanielewa. Tupo wote mkuu.
 
Mkuu tatizo pia lipo kwenye WATU kwa sababu hata kama wakifika BILIONI lakini kama wamejaa uswahili na ubabaishaji kama wa kwetu sisi basi hata hao viongozi bora hatuwezi kuwapata! Lazima tuanze kubadilika kuanzia huku level ya chini...

WATU - Hili ni mama wa matatizo yote.
WATU - hutoa viongozi kwa maana ya wagombea na wenye kuchagua
WATU - Hutengeneza Siasa safi au chafu - uongozi bora au bora uongozi - RUSHWA, UBADHIRIFU,WIZI/UFISADI ETC
WATU - Hutumia rasilimali kama ardhi ili kuzalisha utajiri na pesa ( value) ambayo tuliambiwa siyo msingi wa maendeleo.

TUFANYE NINI KUWA NA WATU WENYE KUWEZA KULETA MABADILIKO CHANYA?
 

it's a slow process and might take a generation or two.....or even three. the best way is for you as a mother or father to raise your children in the right way, teach them patriotism and love for country and bring them up in faith. If we all can do that then certainly the future is bright.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…