daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,577
- 2,298
Mnaoweka link za blog ban inawahusu. Weka link ya chuo husika kama huna kaa na blog yako siyo kutusumbua hapa.
TayarTIA vp
Angalia Arusha technical collegeMwenye kuelewa kozi ya Heavy Duty Engineering inatolewa chuo gani hapa Tanzania?
Ardhi ni kama sijaonaArdhi UNIVERSITY wakuu
Tutumie hilohilo Mkuu la multiple selectionsArdhi ni kama sijaona
Na ilo pdf linalozagaa nahisi ni wale wa multiple selections, single kama bado hivi…
Inashindikana aiseeTutumie hilohilo Mkuu la multiple selections
Linagoma?Inashindikana aisee
Kama umesahau password unafanyaje kuconfirm chuo?Udsm tayari wametoa
Anhaaa!shukrani mkuuArdhi ni kama sijaona
Na ilo pdf linalozagaa nahisi ni wale wa multiple selections, single kama bado hivi…
Mm Ardhi inagoma kuingia kwenye account vyuo viwili simo nimebakiza Ardhi pekee inaonekana ushindani umekuwa mkubwa sana div two si lolote sasa hivi madogo hawamo kabisaArdhi ni kama sijaona
Na ilo pdf linalozagaa nahisi ni wale wa multiple selections, single kama bado hivi…
EeTutumie hilohilo Mkuu la multiple selections
one ya ECA mtu katemwaaa 🙌Mm Ardhi inagoma kuingia kwenye account vyuo viwili simo nimebakiza Ardhi pekee inaonekana ushindani umekuwa mkubwa sana div two si lolote sasa hivi madogo hawamo kabisa
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Linakataa kupanda, sijui nakosea wapiTutumie hilohilo Mkuu la multiple selections
Hata pata tu 1 selection ndo iko ivo.Ee
one ya ECA mtu katemwaaa 🙌
Ardhi hapaingiliki
Udsm wananiambia wrong username, mpk sielewi
SUA sioni kitu…
Madogo wamevurugwa 🙌
Mwenye kuelewa kozi ya Heavy Duty Engineering inatolewa chuo gani hapa Tanzania?
Vyuo vipo mbona.Dogo acha bangi
na iwe hivyoHata pata tu 1 selection ndo iko ivo.