First round selection

Wakuu msaada kuna dogo kachaguliwa course ya "Community Development" na nyingine ni "Gender and development:, Vipi ipo iko poa zaidi hata kwenye soko la ajira naadaye ili aconfirm?
 
Wakuu msaada kuna dogo kachaguliwa course ya "Community Development" na nyingine ni "Gender and development:, Vipi ipo iko poa zaidi hata kwenye soko la ajira naadaye ili aconfirm?
Asome anachokipenda Tatizo Tz Tunasoma under influence za watu .The passion's weapon
Kuhusu ajira bahati ya mtu na kadar zake mungu mpe dogo ushauri afate k2 roho inapendaa hatujutia
 
Uyo ni mzembe
That's how we define life.Ukiwa na passion kwa ulichonacho ni rahisi kukiangaikia kuliko kusubiri fursa ikufwate Hivyo vijana tunapotea kusoma kozi kutokana na mawazo ya watu utasikia oooh!"KASOME AFYA INALIPA AU ENGINEERING " pasipo kujari passion kijana anasomea mawazo ya watu end of days analalamika hakuna hajira.eeeh mungu wape upeo vijana wenzetu kuishi katika ndoto zao.
 
Back
Top Bottom