Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,792
- 191,138
Wapi single?Multiple selection hiyooo
Wapi single?Multiple selection hiyooo
Hapa kwenye simu Sina website ya TCU nayo haifunguki sijajua Kama wamewekaWapi single?
Kwa combination gani advance na kozi ipii!?Ee
one ya ECA mtu katemwaaa 🙌
Ardhi hapaingiliki
Udsm wananiambia wrong username, mpk sielewi
SUA sioni kitu…
Madogo wamevurugwa 🙌
Ardhi naisi bado tuweni na subira wanaAru ila leo tar23 uwakika bach1Mm Ardhi inagoma kuingia kwenye account vyuo viwili simo nimebakiza Ardhi pekee inaonekana ushindani umekuwa mkubwa sana div two si lolote sasa hivi madogo hawamo kabisa
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
😄😄😄 isije kuwa ni two iliyobebwa na somo la dini na GsSecond round ikifika jamani tushtuane maana saivi ifm haingiliki
mmmmmmh yani two kama four tuuu ni huzuni kwa kwel![]()
Second round ikifika jamani tushtuane maana saivi ifm haingiliki
mmmmmmh yani two kama four tuuu ni huzuni kwa kwel![]()
Kuna mtu kasoma MD kakosa hata pakujitolea, kama anasoma asome kila mtu na bahati yake.Wakuu msaada kuna dogo kachaguliwa course ya "Community Development" na nyingine ni "Gender and development:, Vipi ipo iko poa zaidi hata kwenye soko la ajira naadaye ili aconfirm?
Asome anachokipenda Tatizo Tz Tunasoma under influence za watu .The passion's weaponWakuu msaada kuna dogo kachaguliwa course ya "Community Development" na nyingine ni "Gender and development:, Vipi ipo iko poa zaidi hata kwenye soko la ajira naadaye ili aconfirm?
Ahsante ila nataka kujua amechaguliwa vyuo 2 so from the courses aconfirm chuo kipi?Kuna mtu kasoma MD kakosa hata pakujitolea, kama anasoma asome kila mtu na bahati yake.
UMEONGEA!kazi kwakeKuna mtu kasoma MD kakosa hata pakujitolea, kama anasoma asome kila mtu na bahati yake.
Thank you mkuu, japo alihitaji ushauri piaAsome anachokipenda Tatizo Tz Tunasoma under influence za watu .The passion's weapon
Kuhusu ajira bahati ya mtu na kadar zake mungu mpe dogo ushauri afate k2 roho inapendaa hatujutia
Hii kitu haiwezekaniKuna mtu kasoma MD kakosa hata pakujitolea, kama anasoma asome kila mtu na bahati yake.
Ety eeeHii kitu haiwezekani
Uyo ni mzembeEty eee
That's how we define life.Ukiwa na passion kwa ulichonacho ni rahisi kukiangaikia kuliko kusubiri fursa ikufwate Hivyo vijana tunapotea kusoma kozi kutokana na mawazo ya watu utasikia oooh!"KASOME AFYA INALIPA AU ENGINEERING " pasipo kujari passion kijana anasomea mawazo ya watu end of days analalamika hakuna hajira.eeeh mungu wape upeo vijana wenzetu kuishi katika ndoto zao.Uyo ni mzembe
Community atacover eneo kubwa… mambo za ajira baadae sijuiWakuu msaada kuna dogo kachaguliwa course ya "Community Development" na nyingine ni "Gender and development:, Vipi ipo iko poa zaidi hata kwenye soko la ajira naadaye ili aconfirm?