First presidential debate: Hillary Clinton Wins

First presidential debate: Hillary Clinton Wins

Hahahaa!, umenchekesha Ushmen, si kwa ukweli huu! 😀😀😀
Usiniite mchochezi aiseeee....
Kwani mkuu wa taifa alikua hafanyi mazoezi push-up kipindi kileeee cha kampeni...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: kui
Usiniite mchochezi aiseeee....
Kwani mkuu wa taifa alikua hafanyi mazoezi push-up kipindi kileeee cha kampeni...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Hahaha, haki nimecheka, halafu ulivyounganisha na debate ndo kabsa vimeendana...lol!
 
According to Trump kinachombeba Hillary NI uwekezaji KATIKA kampeni ya Matusi dhidi YAKE ambapo Hillary ameweka zaidi ya dollar milion 100 kumkashifu Trump ILA KASEMA sio KWAMBA yeye hawez isipokua hataki kuchezea FEDHA KATIKA mambo ya kujinga AMEWAONYA HILLARY NA FAMILIA YAKE KUA MAKINI MAANA HAPENDAGI UJINGA...
 
wote hawafai sababu wamekosa sifa za uongozi bora, voters itawapasa kuchagua the lesser evil.
Ni kama ilivyokua 2015 Magufuri VS Lowassa.
 
Mimi nilishangaa sana kwamba baada ya mdahalo, online polls nyingi zilionesha kwamba Trump kashinda tena kwa kishindo kikubwa. Nikatafakari hao Wamarekani waliona mdahalo mwingine au huo tuliouona wote? Kwa sababu focus groups zote zilitoa matokeo tofauti kabisa na hayo. Sasa tunasoma mambo kama haya kutoka kwa washabiki wakuu wa Trump: Leaked Fox News Memo: Online Polls ‘Do Not Meet Our Standards’
 
Back
Top Bottom