Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,450
- 25,591
we kibwengo acha kujitoa ufahamu.....Yani hufahamu kuwa huyo tapeli alimtabiria Lowasa ushindi...??TB Joshua lini aliwahi kutabiri ushindi wa Lowassa???
Hivi unafahamu uchaguzi wa Marekani unavyoendeshwa..??Kwa Merikani kwani nani alipigiwa kura na raia wengi kati ya Clinton na Trump?
Endeleeni kujitoa ufahamu na hao manabii wenu uchwars