First Lady alisherehekea siku ya wanawake duniani?! Kitaifa ilifanyika wapi?!

Nanye Go

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
8,513
10,986
Sijamuona first Lady wala mumewe kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani. Au tafrija ya mabalozi ili substitute hayo maadhimisho ya siku ya wanawake duniani?!

Tulizoea kuwaona ma first lady front tangu enzi za ruksa mama Siti Mwinyi hakuwa haba, na enzi za Mkapa mama Anna Nkapa hakuwa haba kabisa, enzi za JK mama Salma naye tulimuona sana, hasa alivyokuwa akihamasisha wasichana wasome shule ya Wama, na alivyokuwa active kule UWT jumuiya yao.

Huyu wa sasa anaenda kanisani na mumewe kwisha, what's up with our first Lady?! Siku ya wanawake hakusherehekea, au naye alikuwepo Geita nini?! Je, hakujua siku hii ipo au hakupata mualiko?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekurupuka, kama ungekua mfuatiliaji mzuri ungeshaligundua kwamba Mke wa Rais alikuwa wapi siku ile.

Rais mwenyewe alipokua anamuaga Rais wa Rwanda pale airport alipata fursa kuongea na wanawake waliokuwepo pale uwanja wa ndege, na alisema na yeye anaenda kumuona mama yake ambaye ni mgonjwa, kwa maneno yale ungeweza kupata taswira ya wapi Mke wa Rais anaweza kuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiishi kwa kuwa mtabiri na wala usijipe cheo cha kuwa msemaji wa mh raisi hakuna alipo taja kuwa mke wake yupo anamuuguza mama mkwe wake
Umekurupuka, kama ungekua mfuatiliaji mzuri ungeshaligundua kwamba Mke wa Rais alikuwa wapi siku ile.

Rais mwenyewe alipokua anamuaga Rais wa Rwanda pale airport alipata fursa kuongea na wanawake waliokuwepo pale uwanja wa ndege, na alisema na yeye anaenda kumuona mama yake ambaye ni mgonjwa, kwa maneno yale ungeweza kupata taswira ya wapi Mke wa Rais anaweza kuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Umekurupuka, kama ungekua mfuatiliaji mzuri ungeshaligundua kwamba Mke wa Rais alikuwa wapi siku ile.

Rais mwenyewe alipokua anamuaga Rais wa Rwanda pale airport alipata fursa kuongea na wanawake waliokuwepo pale uwanja wa ndege, na alisema na yeye anaenda kumuona mama yake ambaye ni mgonjwa, kwa maneno yale ungeweza kupata taswira ya wapi Mke wa Rais anaweza kuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utafikiria umeandika la maana..
Yani unataka kutuaminisha kwamba First Lady alikuwa anamuuguza Mama yake Mkulu siku hiyo..??
Acha kuleta mambo ya kufikirika, hapa ni facts.
 
Hiyo Ni siku ya wanaharakati zaidi na ndiyo maana huwezi kuwaona wakina Clinton Hillary na Teresa May wakisherekea hiyo siku
 
Hiyo Ni siku ya wanaharakati zaidi na ndiyo maana huwezi kuwaona wakina Clinton Hillary na Teresa May wakisherekea hiyo siku

IMG_4582.JPG
IMG_4583.JPG
 
Utafikiria umeandika la maana..
Yani unataka kutuaminisha kwamba First Lady alikuwa anamuuguza Mama yake Mkulu siku hiyo..??
Acha kuleta mambo ya kufikirika, hapa ni facts.
Sasa wewe hicho ulichoandika hapo kina maana gani? Kama unadhani lipo unalolijua tupe fact unayoijua wewe kuhusu alipokua mke wa Rais siku za sherehe za wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiishi kwa kuwa mtabiri na wala usijipe cheo cha kuwa msemaji wa mh raisi hakuna alipo taja kuwa mke wake yupo anamuuguza mama mkwe wake

In God we trust
Wapi ambapo nimesema nimetoa utabiri?sasa kama hutaki kuamini hicho nilichoandika hapo, tuambie wewe unachojua, ili tuone kama kina maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna makabila wanaume hawakujaliwa kumwinua na kumpetipeti mwanamke.
Nakumbuka kuna Mke wa Makamu wa Rais Omar Ali Juma (RIP), Aligeuza uelekeo wa msafara wa Makamu wa Raisi.
 
Kuna makabila wanaume hawakujaliwa kumwinua na kumpetipeti mwanamke.
Nakumbuka kuna Mke wa Makamu wa Rais Omar Ali Juma (RIP), Aligeuza uelekeo wa msafara wa Makamu wa Raisi.
NAKUMBUKA TUKIO HILO MKOANNI TANGA MKE ALIKOMAA KWENDA KUMWANGALIA MWANAE ST MARRY MAZINDE JUU AMBAYO ILIKUWA NJE YA PROTOCAL KAMA SIKOSEI ILIKUWA 1998 HIVI.
ILIKUWA WILAYANI LUSHOTO NA PROTOCOL IKAVUNJWA !! OGOPA SUMAKU ,CHUMA HAKINA UJANJA MBELE YA SUMAKU !!
 
Back
Top Bottom