inaonekana belinda ulikuwaaa getiiii kali aka mbwaaa mkali usipitee.
mazingiraaa,uswaziiii mbayaa..afu masister na ma blazaa wa kitaa walikuwa watu wa maclub sanaaa,watu wa kuvyaa ma opipiii,mashati ya drafti na pankii za shabaa ranksi.so tulikuwa tuna wakongoteaa midaa flani jioni aseeehe he..mzee na bi.mkubwa ilikuwa si mchezo! Ila kwa haraka haraka itakuwa ni baada ya high school! Wewe nae ulianza mapema,loooh
Hhhm kwanini wewe hukuPM kuuliza?
Nwy nna 27!!Wewe?
that is wat am try to say...hizo moment ni chachee na ningumu kuzirudia.
Dah! Lizzy yakweli haya?
hayaaa mamaakeUsilazimishe maana tofauti na niliyokusudia. Nilichomaanisha ni kwamba mambo mengi yalitokea kipindi hicho. . .hiyo ilikua ni sehemu ndogo tu ila kwasababu ilikuwepo siwezi kukumbuka A, B na D bila ya C. . . na sio kwasababu sijui ni special. Kiss ya kunifanya niikumbuke yenyewe tu kwa kua one of a kind bado haijatokea in Realville. . .
If i have to sacrifice my Avatar for you to
stop using yours,....I'M READY.
Please,...
tena nyie wa meru mlikuwa mnasifika sana....mkikutana pale kwa bibii wa barafu au kwa mama mustii wa ubuyu....
mkuu kumbukaa hili ni jukwaa la MMU sasaa swali gani haliusiki?ningetaka swali na biashara,maendeleo au elimu,siasa ningee uliza sehemu husikaa.Ni haki kabisa kwa tanzania kupata viongozi wa hovyo kama mtu anauliza maswali kama haya???? Ndo mawazo ya watu haya?? Ohh my God!!!!
na ce wa naura?