hiyo ni huko kwenu tu, mafanikio au maporomoko ya mtu ni jitihada zake mwenyewe hazihusiani chochote na uzaliwa wake wa kwanza ama mwishoHabari ya mwisho wa mwezi.
Kuna familia nyingi nimeziona zikihangaika au kumkatia tamaa mzaliwa wa kwanza.Huyu mzaliwa wa kwanza anaishi kama mzaliwa wa mwisho.
Ingawa umri wake ni mkubwa kuliko wadogo zake lakin atapitwa maendeleo na wadogo zake.Wengine hupenda kubaki akiwalea wazazi wengine huwa hawana ramani.Huzalia nyumbani,chanzo cha familia kuyumba labda kuweka rehani nyumba kupata mkopo lakini hushindwa kulipa.Kwa wanaume huwa walevi na mateja kwa mijini.
Wengi huhisi kuwa katolewa kafara kwa ajiri ya wadogo zake(kiimani).
Je ni malezi,imani au mzaliwa wa kwanza huwa hivi?
JF na jamii kwa ujumla kama tuna watoto wa kwanza bado wadogo tuwakunje wangali wabichi.
hiyo ni huko kwenu tu, mafanikio au maporomoko ya mtu ni jitihada zake mwenyewe hazihusiani chochote na uzaliwa wake wa kwanza ama mwisho
LE NANIHII TEHETEHEHabari ya mwisho wa mwezi.
Kuna familia nyingi nimeziona zikihangaika au kumkatia tamaa mzaliwa wa kwanza.Huyu mzaliwa wa kwanza anaishi kama mzaliwa wa mwisho.
Ingawa umri wake ni mkubwa kuliko wadogo zake lakin atapitwa maendeleo na wadogo zake.Wengine hupenda kubaki akiwalea wazazi wengine huwa hawana ramani.Huzalia nyumbani,chanzo cha familia kuyumba labda kuweka rehani nyumba kupata mkopo lakini hushindwa kulipa.Kwa wanaume huwa walevi na mateja kwa mijini.
Wengi huhisi kuwa katolewa kafara kwa ajiri ya wadogo zake(kiimani).
Je ni malezi,imani au mzaliwa wa kwanza huwa hivi?
JF na jamii kwa ujumla kama tuna watoto wa kwanza bado wadogo tuwakunje wangali wabichi.
HE NI NDUGUYO AMA ? Y MSHANA JR? AMA UNAJUA KHABARI ZAKE?Nasubiri mchango wa mshana jr
AKUU USINISEMEE MI SIJASEMA BUANA BY THE WAY HUYU ULIYEMTAJA NI WA NGAPI KWAONani tena mkuu.Na Le mbembez nae first born alokuwa last born?
HE NI NDUGUYO AMA ? Y MSHANA JR? AMA UNAJUA KHABARI ZAKE?
Ujinga alioufanya why afe jamani
Mkuu nina kitabu cha Mwakasege alichoandika Namna ya kumuombea mzaliwa wa kwanza kaeleza mambo mengi sana.....mojawapo ni kuwa baraka za familia huingia kupitia mzaliwa wa kwanza na mzaliwa wa kwanza ndo lango kuu either la pepo au mikosi katika familia au hata mambo mazuri na yenye barakaTafuta semina ya mchungaji Christopher Mwakasege juu ya mtoto wa kwanza.Anasema kuna vita kubwa sana kati ya shetani na uzao wa kwanza,mara nyingi mtoto wa kwanza huwa ni tatizo...sijui ni kwanini....Lakini hebu tuanze na uzao wa kwanza kabisa duniani wa Adam na Hawa ambae ni Kaini, Kaini alimuua mdogo wake kwasababu ya wivu,mdogo wake alifanya vizuri kuliko kaka yake ikawa bifu zito.Twende uzao ya Isaka..Esau na Yakobo,ilitokea timbwili kubwa sana baada ya Yakobo kubarikwa badala ya Esau,kwa kuogopa kuuliwa na kaka yake Yakobo ilimbidi akimbie nyumbani miaka na miaka..Uzao wa Yakobo, Yusuph ambae sio mtoto wa kwanza wa yakobo alifanya vizuri kuliko kaka zake wakataka kumuua.Na hata uzao wa Yesse,Daud alifanya vizuri kuliko kaka zake.The list is endless... Hivyo basi unaweza kuona watoto wa kwanza huwa hawafanyi vizuri sana,sijui ni kwanini.Lakini mchungaji Mwakasege anasema ni kwasababu ya kuwa mtoto wa kwanza ni malango ya wazazi.Hivyo shetani hupiga vita kubwa sana malango hayo.Hivyo ni vema sana kuwaombea na kuwasaidia
Yesu alikuwa first born kwa Maria.. Mafanikio yake yanafahamika vizuri... Musa pia vivyo hivyo kwa mama yake...Tafuta semina ya mchungaji Christopher Mwakasege juu ya mtoto wa kwanza.Anasema kuna vita kubwa sana kati ya shetani na uzao wa kwanza,mara nyingi mtoto wa kwanza huwa ni tatizo...sijui ni kwanini....Lakini hebu tuanze na uzao wa kwanza kabisa duniani wa Adam na Hawa ambae ni Kaini, Kaini alimuua mdogo wake kwasababu ya wivu,mdogo wake alifanya vizuri kuliko kaka yake ikawa bifu zito.Twende uzao ya Isaka..Esau na Yakobo,ilitokea timbwili kubwa sana baada ya Yakobo kubarikwa badala ya Esau,kwa kuogopa kuuliwa na kaka yake Yakobo ilimbidi akimbie nyumbani miaka na miaka..Uzao wa Yakobo, Yusuph ambae sio mtoto wa kwanza wa yakobo alifanya vizuri kuliko kaka zake wakataka kumuua.Na hata uzao wa Yesse,Daud alifanya vizuri kuliko kaka zake.The list is endless... Hivyo basi unaweza kuona watoto wa kwanza huwa hawafanyi vizuri sana,sijui ni kwanini.Lakini mchungaji Mwakasege anasema ni kwasababu ya kuwa mtoto wa kwanza ni malango ya wazazi.Hivyo shetani hupiga vita kubwa sana malango hayo.Hivyo ni vema sana kuwaombea na kuwasaidia