donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Jumla itakua 180 sawa ila angles zinaweza zikatofautiana ukubwa, mfano 72°, 38° na 70°, je hizi hazikuletei total ya 180° tusirahisishe approach kisa tu tumeona common coefficient imetumika bila kujali kam triangle yetu ni equilateral ama la!Kwani zikiwa unequal sides hufanya jumla tofauti na 180 degrees?
Kila umbo la pembe 3 lazma liwe nyuzi 180.Haiwezi kua 18° mkuu because hii siyo equilateral triangle so approach yako ni wrong....
Hiyo sio isoscales triangle wala scalene triangle so unadhani itakuwa ni aina gani ya pembe tatu lakini total ya nyuzi ya pembe tatu yoyote lazima iwe nyuzi mia na themanini...jaribu kukokotoa mkuu alafu utupe jibu ukiambatanisha na proofHaiwezi kua 18° mkuu because hii siyo equilateral triangle so approach yako ni wrong....
Nafikiri kidgo we we umenielewa mkuu, nashkuru. Tukianzia hapo sasa ndio tunaweza kuanza kushushaHiyo sio isoscales triangle wala scalene triangle so unadhani itakuwa ni aina gani ya pembe tatu lakini total ya nyuzi ya pembe tatu yoyote lazima iwe nyuzi mia na themanini...jaribu kukokotoa mkuu alafu utupe jibu ukiambatanisha na proof
THE SUM OF INTERIOR ANGLE OF ANY TRIANGLE IS EQUAL TO 180Haiwezi kua 18° mkuu because hii siyo equilateral triangle so approach yako ni wrong....
Mchoro umekosewa kuchorwa, kwa jinsi ilivyoandikwa a ni 18 degrees kama alivyoonyesha APEFACE , basic Euclidean axioms and arithmetic.Haiwezi kua 18° mkuu because hii siyo equilateral triangle so approach yako ni wrong....
tunasubiri ukokotoe mkuu alafu utupe mrejesho..............Nafikiri kidgo we we umenielewa mkuu, nashkuru. Tukianzia hapo sasa ndio tunaweza kuanza kushusha
Pembe taty yoyote duniani ina nyuzi 180°, hivyo ni lazima yuko sahihi kwa vyovyote vile. Labda kwa ripoti kama za makanikia anaweza asiwe sahihiHaiwezi kua 18° mkuu because hii siyo equilateral triangle so approach yako ni wrong....
Kuna pembetatu zisizo katika "Euclidean Geometry" zenye nyuzi zaidi ya 180 au pungufu ya 180.Pembe taty yoyote duniani ina nyuzi 180°, hivyo ni lazima yuko sahihi kwa vyovyote vile. Labda kwa ripoti kama za makanikia anaweza asiwe sahihi
Hahaha haya ndo madhara ya HKL! Hata BAM hujasoma !Haiwezi kua 18° mkuu because hii siyo equilateral triangle so approach yako ni wrong....
How do I find A wakati iko hapo hapo? Au hujaiona?
Ni sawa kabisaSulution
Ignore degrees
4a+a+5a=180
10a=180
divide both sides by 10
a=18
thus,a=18 answer
Kila siku nikiingia youtube kuna maana mpya kuhusu hili neno covfefe.... Sijui trump alimaanisha nini??A=Covfefe
Safi kabisa mkuuMchoro umekosewa kuchorwa, kwa jinsi ilivyoandikwa a ni 18 degrees kama alivyoonyesha APEFACE , basic Euclidean axioms and arithmetic.
Nyuzi zote za ndani za pembetatu yoyote ni lazima ziwe 180 kwa mujibu wa Euclidean geometry, labda uniambie pembetatu hii haipo katika Euclidean Geometry. Kuna pembetatu zilizo na nyuzi zaidi ya 180, na nyingine zina nyuzi chini ya 180, lakini hizo ziko katika curved spacetime, non-Euclidean Geometry.
That is axiomatic. Fiat. Ukibisha unabishana na Euclidean axioms.
Lakini mchoro haujakaa kwa angles hizo ukiuangalia kwa macho, ni kama equilateral triangle ambayo itakupa majibu tofauti ya a=60, a= 12 na a= 15 degrees simultaneously, a contradiction.
Hizi hesabu za darasa la sita, hebu leteni mambo kama ya Fermat's Last Theorem, Ramanujan's proofs na vitu kama vya Grigori Perelman.