Financial consultancy.. Msaada tafadhali

Financial consultancy.. Msaada tafadhali

ndamuro

Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
24
Reaction score
9
Habari zenu wanajamvi!

Mimi ni mwajiriwa kaitika benki mojawapo ya biashara hapa Dsm kama back Officer huu ukiwa ni mwaka wa tatu

Kwakweli nimekuwa na ndoto ya muda mrefu toka kipindi nasoma o-level ya kuwa fianancial consultant, sasa kikwazo

kimekuwa ni jinsi gani ya kujinasua kutoka ajira ajira yangu ya sasa na kujiunga na ndoto ya masha yangu kutokana

na ukweli kuwa sijawahi kufanya kazi za finance (typically) ie auditing, taxation, accountancy etc japo nina bachelor ya

Accounting plus professional qualifiacation ya uhasibu ie CPA (t).


Naamini hapa jamvini kuna watu wamepitia safari kama yangu hivyo ningepata mawazo yao yangenipa mwangaza

kidogo na pia naamini wapo wadau waliofanikiwa katika fani hii pls naomba mnishike mkono.



Nawasilisha.
 
Ondoka hapo bank then tafta kazi kwenye auditing firm.

Ushauri murua kabisa!
Na asichague firm/ asiwe too selective, vinginevyo hatapata nafasi.
Kama umeshamaliza 3 yrs tangu upate CPA, then fanya fasta jiunge na firm yoyote umalize miaka mitatu na hiyo firm ili uweze kuomba usajili kama a CPA-PP, hapo utakuwa kwenye nafasi nzuri ya kujiunga na mwenzako/wenzako na kuanzisha firm yenu!



CC: ndamuro
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu. Nimejaribu sana kuomba nafasi ktk auditing firms kadhaa lakini response imekuwa si nzuri nafikiri wana prefer fresh graduates.
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu. Nimejaribu sana kuomba nafasi ktk auditing firms kadhaa lakini response imekuwa si nzuri nafikiri wana prefer fresh graduates.

umejaribu kupeleka kwenye firm na kujaribu kuongea na partiners?
 
habari zenu wanajamvi!

Mimi ni mwajiriwa kaitika benki mojawapo ya biashara hapa dsm kama back officer huu ukiwa ni mwaka wa tatu

kwakweli nimekuwa na ndoto ya muda mrefu toka kipindi nasoma o-level ya kuwa fianancial consultant, sasa kikwazo

kimekuwa ni jinsi gani ya kujinasua kutoka ajira ajira yangu ya sasa na kujiunga na ndoto ya masha yangu kutokana

na ukweli kuwa sijawahi kufanya kazi za finance (typically) ie auditing, taxation, accountancy etc japo nina bachelor ya

accounting plus professional qualifiacation ya uhasibu ie cpa (t).


Naamini hapa jamvini kuna watu wamepitia safari kama yangu hivyo ningepata mawazo yao yangenipa mwangaza

kidogo na pia naamini wapo wadau waliofanikiwa katika fani hii pls naomba mnishike mkono.



Nawasilisha.

nbaa wanaweza kuwa na maelezo zaidi
 
Back
Top Bottom