Finally Official Windows 10 upgrade is here

Finally Official Windows 10 upgrade is here

yaani ni hv, Natumia Nokia Lumia 630 ina Ram ya mb512, niliinstall update advisor ikaniambia Divice not surported to receive win 10 update nikasema isiwe tabu, nikainstall win insider then release preview kisha nikaupdate nikapata win 10, nika uninstall insider kisha nikainstall tena safari hii nikachagua Product ikaniambia nitakuwa nikipokea update moja kwa moja na sio Preview tena. Nikaenda settings then phone update nikapewa build no.10.0.10586.164. Ndo ninayoitumia lkn naona fresh tu haizingui wala nini. Sharobaro na Chief-Mkwawa

Shida yangu ni kwamba ktk lumia 620 ambayo ina ram ya mb512 itakubali? Coz nimeweka hiyo insider tyr na ktk simu upande wa update iko hvyo kama picha inavyoonesha hapo chini.....,
ImageUploadedByJamiiForums1458793280.192053.jpg
 
ukaaji chaji?
kiukweli ukaaji chaji naona umeongezeka maana mwanzo nilikuwa natumia update ya mwisho kabisa ya Lumia Denim simu ilikuwa nikitoka kuichaji inaonyesha imejaa 100% lakini baada ya dakika kama 10 inapungua na kusoma 99% (wakati haipo connected) wakati sikuitumia, lakini sasa ikijaa naweza poteza hata masaa mawili(kama haipo connected)
 
Shida yangu ni kwamba ktk lumia 620 ambayo ina ram ya mb512 itakubali? Coz nimeweka hiyo insider tyr na ktk simu upande wa update iko hvyo kama picha inavyoonesha hapo chini.....,View attachment 332152
Ndiyo itakubali, utapata build no.10.0.10586.107 kisha fungua tena app ya insider chagua PRODUCT (hapo utakuwa umejitoa) nenda tena settings then Update and Security kisha Phone Update utapata official update
 
Ndiyo itakubali, utapata build no.10.0.10586.107 kisha fungua tena app ya insider chagua PRODUCT (hapo utakuwa umejitoa) nenda tena settings then Update and Security kisha Phone Update utapata official update

Baada ya hapo naweza toa insider ktk simu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom