Finally nimekua spinster!

Duh hiyo itakuwa ngumu boss maana alikotoka alikuwa anachezea daily, mimi kama dalali uwezo wangu wa kukuunganisha naye umeishia hapo. Labda ngoja nimuulize yeye mwenyewe. Eti Anastasia21 utaweza?
Ah bc kama yeye n mzoefu na mpaka kupitiliza bc huyo hanifai, mm namtaka wa kufanana nae
 
Mbobezii๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kuna vidume zaidi ya bilioni duniani, unakubali vipi kukaa kizembe? Japo najua kuwa single haimaanishi mahitaji muhimu hupati๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Kuna vidume zaidi ya bilioni duniani, unakubali vipi kukaa kizembe? Japo najua kuwa single haimaanishi mahitaji muhimu hupati๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃumetoa majibu mwenyewe.
 
Kuna namna mjukuu anataka kukusaidia kushika kiko yako mzee mwenzangu.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Itakuwa vyema sana Mzee mwenzangu.

Maana nina miezi lukuki sijatembelewa na Mjukuu hata mmoja ๐Ÿ˜œ

Na huyo Mjukuu ningempatia zawadi ya Lita 3 ya asali aende akajilie akirudi Mjini ๐Ÿค—
 
Itakuwa vyema sana Mzee mwenzangu.

Maana nina miezi lukuki sijatembelewa na Mjukuu hata mmoja ๐Ÿ˜œ

Na huyo Mjukuu ningempatia zawadi ya Lita 3 ya asali aende akajilie akirudi Mjini ๐Ÿค—
Hahahahaha, mzee mwenzangu uko vizuri!!! Au nimuite mjukuu Aaliyyah aje kula asali๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hahahahaha, mzee mwenzangu uko vizuri!!! Au nimuite mjukuu Aaliyyah aje kula asali๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hahaha............huyo Mjukuu tangu aende Kwa Trump Mwaka Juzi hajarudi tena Bongo kunisalimia Babu yake

Na nilivyomkumbuka Mjukuu wangu, nitamwandalia Lita 5 za asali aje alambe hadi achoke ๐Ÿค—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ