Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,024
- 72,344
Cjapima,naogopa sana...
Nakuambia usiogope,ukute Mungu alimpa malipo yake huyo mumeo kwa matendo yakee,,,wengi mbona hua wanaenda kupima lakin si wote wanakua wameathirika,,
Ukipima nakuambia utakua unajiaminii utasonga mbele roho wa hofu atapoteaaa
Usiache kunipa mrejesho ukishapima