Finally leo nimepima UKIMWI

Finally leo nimepima UKIMWI

Hongeraaa, maana kazi c kupima kazi ni kupokea hayo majibu uwiii, mara ya kwanza sikuweza kuvumilia nilitokomea
 
Umesema ulitakiwa ukapime, vp unaenda polisi nn? Una mchumba watka kuoa? Hebu weka waz hyo sababu inaweza kuwapa nguvu na ujasiri watu wengine.
Kupima? The saints do, I dont.

In red: Ndio mkuu ila sio wa kuoana,ni dates tu akataka nikapime kwanza,kwa kua nilikua sijawahi kupima ikanibidi nije kuomba ushauri humu kwa wadau wakanipa makonfidensi
Kapime acha uoga mkuu.
 
dunia inaelekea ukingoni ukipima na kujua uko salama unastahili hongera according to me

Sidhani kama kuna haja ya kupongezana, kupima ni wajibu wa kila mwenye kujali...

Wajibu unapotimizwa huwa hakuna sababu ya kutoa pongezi...

Ukienda kupima huwa unapewa ushauri nasaha wa namna ya kuishi salama, kujikinga na kuwakinga wengine...
 
Sasa uvalishe kofuli ya VIRO hapo. Bahati haiji mara mbili. Ukipata demu uwe wa keanza kumtaka mkapime kwanza.
 
Baada ya mwezi mmoja,ila mimi sasa ntafanya kila wiki naenda kupima.

Kwenda kupima kila wiki ndo kunaepusha ngoma? Ningekuona una akili kama ungesema kuanzia sasa unaacha zinaa na utajinginga na zinaa!.. lkn ww eti unaahid kwenda kupima kila wiki! Kupima kunazuia maambukizo?
 
In red: Ndio mkuu ila sio wa kuoana,ni dates tu akataka nikapime kwanza,kwa kua nilikua sijawahi kupima ikanibidi nije kuomba ushauri humu kwa wadau wakanipa makonfidensi
Kapime acha uoga mkuu.

Inaonekana unapiga kavukavu. Umenusurika sasa hivi ila usidhani ndio itakua hivyohivyo kila siku. Next time ukokutwa na ngoma usishangae. Wee endelea kutamba tu eti nina mchumba wa kudate tu si wa kuoa! Unaona sifa eeh
 
Hongeta sana...mwenzio nnaogopa maana yule mwanaume malaya nlivuoamua kumove on aliniambia ashanasa so Na mi nkachek..toka hapo nimeloose confidence..yaani hata nikiumwa Kichwa mawzo debe...!nawaza na kumtafakari Mungu japo nlitenda dhambi,cpati magbu...hivi kweli anaweza kuwa aliruhusu?nnaumia sanaa coz nlijitunza sana na cna list ya wanaume maishani mwangu
 
Wengine mpaka wabebwe na greda ndio wapimwe
Jikinge zaidii
 
Hongeta sana...mwenzio nnaogopa maana yule mwanaume malaya nlivuoamua kumove on aliniambia ashanasa so Na mi nkachek..toka hapo nimeloose confidence..yaani hata nikiumwa Kichwa mawzo debe...!nawaza na kumtafakari Mungu japo nlitenda dhambi,cpati magbu...hivi kweli anaweza kuwa aliruhusu?nnaumia sanaa coz nlijitunza sana na cna list ya wanaume maishani mwangu

Pole shosti jipe moyo Mungu ni mwema,kua na ujasiri kapime upate majibu ili uwe mwepesi na ujikinge zaidii,,,sio wote wanaweza kuambukizwa HIV inaonyesha hujaambukizwaa,,kapime utakuja kunipa majibu sawa La Princesa
 
Last edited by a moderator:
Hongeta sana...mwenzio nnaogopa maana yule mwanaume malaya nlivuoamua kumove on aliniambia ashanasa so Na mi nkachek..toka hapo nimeloose confidence..yaani hata nikiumwa Kichwa mawzo debe...!nawaza na kumtafakari Mungu japo nlitenda dhambi,cpati magbu...hivi kweli anaweza kuwa aliruhusu?nnaumia sanaa coz nlijitunza sana na cna list ya wanaume maishani mwangu

Mh!pole sana,sijakuelewa,ushacheki na ukapewa majibu sawa na alivyokwambia huyo jamaa yako au bado?
 
Back
Top Bottom