Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Kama mtakumbuka juzi juzi hapa niliandika hapa kua natakiwa nikapime ukimwi,nimejaribu kukwepa sana hilo jambo ila hatimae nimelazimika leo asubui hii kwenda kupima.
Kweli kupima ukimwi yahitaji moyo,asubui hii nimejipa ujasiri wa kutosha,baada ya kuamka nikaelekea hospitali. Nikiwa nasubiri majibu nimewaza mambo mengi sana kuhusu hatima yangu(je ikitokea ninao ntafanyaje,je ntaoa,je ntapata mtoto, familia yangu watanichukuliaje,wanajamii,nk),nimericall njia zangu za nyuma na jinsi nilivyokua nacheza peku kwenye uwanja wa changarawe kidogo nikimbie majibu.
Thanks majibu yametoka poa,Wajamaa nawashauri mkapime. hapa nilipo najisikia mwepesi sana kama vile nimetua mzigo mzito sana na najisikia nina amani sana moyoni.
cc. Preta
Kweli kupima ukimwi yahitaji moyo,asubui hii nimejipa ujasiri wa kutosha,baada ya kuamka nikaelekea hospitali. Nikiwa nasubiri majibu nimewaza mambo mengi sana kuhusu hatima yangu(je ikitokea ninao ntafanyaje,je ntaoa,je ntapata mtoto, familia yangu watanichukuliaje,wanajamii,nk),nimericall njia zangu za nyuma na jinsi nilivyokua nacheza peku kwenye uwanja wa changarawe kidogo nikimbie majibu.
Thanks majibu yametoka poa,Wajamaa nawashauri mkapime. hapa nilipo najisikia mwepesi sana kama vile nimetua mzigo mzito sana na najisikia nina amani sana moyoni.
cc. Preta