Ila me naona ni kama hatua nzuri kwao. Au unaonaje chief?cha muhimu zaidi ni ziwe reviewed, wanatakiwa watume simu zao gsmarena wazi review ili tujue zaidi.
ni hatua nzuri mkuu, sababu site zetu za Huku Africa zipo ovyo sana kwenye kuandika specification.Ila me naona ni kama hatua nzuri kwao. Au unaonaje chief?
Ila naona ni muda na wao waachane na mtk kwenye flagships zao watumie snapdragonni hatua nzuri mkuu, sababu site zetu za Huku Africa zipo ovyo sana kwenye kuandika specification.
zipo nimewahi kukutana nazo mbili tatuIla naona ni muda na wao waachane na mtk kwenye flagships zao watumie snapdragon
wakianza kudesign simu watapewa snapdragon.Ila naona ni muda na wao waachane na mtk kwenye flagships zao watumie snapdragon
Chief nakukubali sana kwenye hizo mambowakianza kudesign simu watapewa snapdragon.
mediatek zinatolewa kama njugu, hata mimi na wewe tunaweza zipata na kutengeneza simu, ndio maana unaona simu fake pia zina mediatek.
ila snapdragon, exynos, tegra etc wanapewa makampuni yanayojukikana tu, hivyo kama kampuni ipo na inadesign vitu vya kueleweka unapewa.