KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Huyu anasumbuliwa na ULANZI; anajitafutia misifa ambayo itamtokea puani. Kama anataka kutoka CCM atuachie chama chetu kiusalama, hana sababu ya kuwadhalilisha wabunge wetu
Wewe Na Mwenyekiti wako ndiyo mmelewa ulanzi...tabu yenu hampendi kuambiwa ukweli!