Filamu za uchochezi za kidini ZBC2

Filamu za uchochezi za kidini ZBC2

state agent

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2019
Posts
1,764
Reaction score
2,515
Uzi huu ulindwe kwa maslahi mapana ya taifa

Kuna filamu inaitwa ABU HAMZA inaendelea kule ZBC2

Kuna filamu zimejaa maudhui ya itikadi Kali sana zinarushwa bila shida na mamlaka zipo kimya kwa muda sasa

Filamu zinaonyesha wasiokuwa waislam wanauwa na kuchinjwa hadharani huku wanaouwa hupewa vyeo ,mali na wanawake

Filamu zinazonesha maudhui ya kujitoa mhanga hadi kufa kisha wanappngezwa kwa kuwauwa wasio kuwa waislamu

Filamu zinazoonesha haja ya kueneza dini kwa mauaji na mateso kwa walioikataa mpaka wakubali

Filamu inayonesha kama mwanamke sio kitu mbele ya jamii yake

Japo sheria haiitambui Zanzibar kama nchi ya kidini vilevile Tanzania bado hi filamu zisingefaa kwa dunia ya sasa na hofu ya machafuko.

Mnataka mpaka nchi ichafuke au vitendo vya ugaidi vizidi ndio mkemee


chanzo ZBC2
 
Uzi huu ulindwe kwa maslahi mapana ya taifa

Kuna filamu inaitwa ABU HAMZA inaendelea kule ZBC2

Kuna filamu zimejaa maudhui ya itikadi Kali sana zinarushwa bila shida na mamlaka zipo kimya kwa muda sasa

Filamu zinaonyesha wasiokuwa waislam wanauwa na kuchinjwa hadharani huku wanaouwa hupewa vyeo ,mali na wanawake

Filamu zinazonesha maudhui ya kujitoa mhanga hadi kufa kisha wanappngezwa kwa kuwauwa wasio kuwa waislamu

Filamu zinazoonesha haja ya kueneza dini kwa mauaji na mateso kwa walioikataa mpaka wakubali

Filamu inayonesha kama mwanamke sio kitu mbele ya jamii yake

Japo sheria haiitambui Zanzibar kama nchi ya kidini vilevile Tanzania bado hi filamu zisingefaa kwa dunia ya sasa na hofu ya machafuko.

Mnataka mpaka nchi ichafuke au vitendo vya ugaidi vizidi ndio mkemee


chanzo ZBC2
Ujinga huu! Upo humu kila siku kusifia ujinga wa serikali ya CCM lakini yanapotokea ya kuwaumiza unatuletea humu.
Kaongeeni huko ndani kwenu au mtumeni kipaza sauti chenu Musiba.
Bladi%ndegelesi!!
 
Neno,mkuu japo sijaangalia hy tv,baadhi ya mitaa pia mabanda video wanarusha baadhi ya mihadhara yenye maudhui ya kibaguzi na kujenga chuki.Tahadhari ni bora.Wahanga ni wazee vijana na wamama wasio na ajira rasmi.
 
Pole sana, its just Islamaphobic taboo!!!

Hofu isiyokuwapo!!!


Hata hivyo na kama sijakosea hakuna filam kwa jina LA Hamza.

Bali kuna filam kwa jina the The Messege ndani yake moja ya Character anaitwa Hamza.

Hii ni filam ya historian ya Uislam. Jinsi Uislam ulivyopatwa na Fitnah, hofu na misukosuko kutoka kwa makafiri wa Maaka hadi walipoletewa message kuwa sasa wameruhusiwa kujihami.

Ni non fiction movie.

Kuizuia filamu kama hii ni sawa na kuizuia waislam wasipropagate ya dini yao. Hii ni sawa na kuzuia mikutano ya Crusaide yaani historian ya ushindi wa vita vya msalaba dhidi ya wasio waktristo.

Taifa letu ni taifa la amani na kuvumiliana. Si taifa la mihemko, tunapigana sindano na huwa tunasubiri tu dawa iingie, akimaliza maisha yanaendelea.

Chukulia tu huyo Hamza ndie Rambo alivyokuwa anauwa kkule Afghanistan haitomaanisha kuwa anauwa wa dini ingine, Nadhani ulikwisha Iona movie hii ya Rambo sidhani kama ilileta hisia hizi unazoziona sasa.

Huu ni ushauri wa amani, tusijitengezee hofu, usiwalazimishe watu hofu inayotengezwa na mitandao huru ya jamii, ndio tumeumbwa na emotions, but usijipe haki ya hofu kutoka kwa jirani yako wa dini tofauti.


Priority to do is "don't sign unfold"
 
ZBC Channels ni ujinga tupuuuu. Kutwa kucha ni vipindi vya Dini tu. Kweli Huko Zbar hawana haja ya mafundisho mengine zaidi ya Kulishwa Kuran 24/7.
Anyway kama Channel inakukera unaipiga block kwenye King'amuz chako isionekane baaasi maisha yanaenda.
 
Hivi wazanzibar sjui wakoje ..Kuna Uzi nlisoma eti mtu afariki kwa kuzama kwenye kisima, nliposoma nikajua ni Zanzibar wala sikuendelea...wamekaa kirojorojo
 
Mkuu ZBC 2 sio channel ya taifa ile... Ile ni Islamic Tv, Azam wanatumia kueneza dini isiyo na mbele wala nyuma iliyojaa hadithi za abunuasi.
Uzi huu ulindwe kwa maslahi mapana ya taifa

Kuna filamu inaitwa ABU HAMZA inaendelea kule ZBC2

Kuna filamu zimejaa maudhui ya itikadi Kali sana zinarushwa bila shida na mamlaka zipo kimya kwa muda sasa

Filamu zinaonyesha wasiokuwa waislam wanauwa na kuchinjwa hadharani huku wanaouwa hupewa vyeo ,mali na wanawake

Filamu zinazonesha maudhui ya kujitoa mhanga hadi kufa kisha wanappngezwa kwa kuwauwa wasio kuwa waislamu

Filamu zinazoonesha haja ya kueneza dini kwa mauaji na mateso kwa walioikataa mpaka wakubali

Filamu inayonesha kama mwanamke sio kitu mbele ya jamii yake

Japo sheria haiitambui Zanzibar kama nchi ya kidini vilevile Tanzania bado hi filamu zisingefaa kwa dunia ya sasa na hofu ya machafuko.

Mnataka mpaka nchi ichafuke au vitendo vya ugaidi vizidi ndio mkemee


chanzo ZBC2
 
Uzi huu ulindwe kwa maslahi mapana ya taifa

Kuna filamu inaitwa ABU HAMZA inaendelea kule ZBC2

Kuna filamu zimejaa maudhui ya itikadi Kali sana zinarushwa bila shida na mamlaka zipo kimya kwa muda sasa

Filamu zinaonyesha wasiokuwa waislam wanauwa na kuchinjwa hadharani huku wanaouwa hupewa vyeo ,mali na wanawake

Filamu zinazonesha maudhui ya kujitoa mhanga hadi kufa kisha wanappngezwa kwa kuwauwa wasio kuwa waislamu

Filamu zinazoonesha haja ya kueneza dini kwa mauaji na mateso kwa walioikataa mpaka wakubali

Filamu inayonesha kama mwanamke sio kitu mbele ya jamii yake

Japo sheria haiitambui Zanzibar kama nchi ya kidini vilevile Tanzania bado hi filamu zisingefaa kwa dunia ya sasa na hofu ya machafuko.

Mnataka mpaka nchi ichafuke au vitendo vya ugaidi vizidi ndio mkemee


chanzo ZBC2
Zbc2 ni ya zanzibar ambayo 99.9 ni waislam kwani tatizo liko wapi?????
 
Uzi huu ulindwe kwa maslahi mapana ya taifa

Kuna filamu inaitwa ABU HAMZA inaendelea kule ZBC2

Kuna filamu zimejaa maudhui ya itikadi Kali sana zinarushwa bila shida na mamlaka zipo kimya kwa muda sasa

Filamu zinaonyesha wasiokuwa waislam wanauwa na kuchinjwa hadharani huku wanaouwa hupewa vyeo ,mali na wanawake

Filamu zinazonesha maudhui ya kujitoa mhanga hadi kufa kisha wanappngezwa kwa kuwauwa wasio kuwa waislamu

Filamu zinazoonesha haja ya kueneza dini kwa mauaji na mateso kwa walioikataa mpaka wakubali

Filamu inayonesha kama mwanamke sio kitu mbele ya jamii yake

Japo sheria haiitambui Zanzibar kama nchi ya kidini vilevile Tanzania bado hi filamu zisingefaa kwa dunia ya sasa na hofu ya machafuko.

Mnataka mpaka nchi ichafuke au vitendo vya ugaidi vizidi ndio mkemee


chanzo ZBC2

Dini dini dini....

Fvck it!
 
Uzi huu ulindwe kwa maslahi mapana ya taifa

Kuna filamu inaitwa ABU HAMZA inaendelea kule ZBC2

Kuna filamu zimejaa maudhui ya itikadi Kali sana zinarushwa bila shida na mamlaka zipo kimya kwa muda sasa

Filamu zinaonyesha wasiokuwa waislam wanauwa na kuchinjwa hadharani huku wanaouwa hupewa vyeo ,mali na wanawake

Filamu zinazonesha maudhui ya kujitoa mhanga hadi kufa kisha wanappngezwa kwa kuwauwa wasio kuwa waislamu

Filamu zinazoonesha haja ya kueneza dini kwa mauaji na mateso kwa walioikataa mpaka wakubali

Filamu inayonesha kama mwanamke sio kitu mbele ya jamii yake

Japo sheria haiitambui Zanzibar kama nchi ya kidini vilevile Tanzania bado hi filamu zisingefaa kwa dunia ya sasa na hofu ya machafuko.

Mnataka mpaka nchi ichafuke au vitendo vya ugaidi vizidi ndio mkemee


chanzo ZBC2
Huu ni umbeya
 
Back
Top Bottom