Filamu za uchochezi za kidini ZBC2

Filamu za uchochezi za kidini ZBC2

ZBC Channels ni ujinga tupuuuu. Kutwa kucha ni vipindi vya Dini tu. Kweli Huko Zbar hawana haja ya mafundisho mengine zaidi ya Kulishwa Kuran 24/7.
Anyway kama Channel inakukera unaipiga block kwenye King'amuz chako isionekane baaasi maisha yanaenda.
Samahani mkuu kuna channel nataka nizipige block nisizione kabisa nafanyaje ??????? Natumia azam TV decorder
 
Not every Muslim is a terrorist but every terrorist is a muslim. Why?

Si vema kuandika jambo linalokera na kuudhi imani ya wengine, haijengi na wala haitakusaidia lolote. Ulichoandika hapa sio cha kweli, na ni kitu cha hatari sana, hata kama unaandika kwa kujifurahisha ni hatari sana kuongea jambo ambalo huna ushahidi nalo.
Kwa faida yako unawafahamu watu hawa?
Carlos the Jackal, Gerard Adams, Joaquín Guzmán, "El Chapo" Guzmán, Semion Mogilevich,etc,
 
Not every Muslim is a terrorist but every terrorist is a muslim. Why?
Inategemea unatafsiri terrorist kwa mlengo upi ,nakupa H/W utafute waliofanya Entebbe Raid ni kina nani na dini yao ni ipi
 
So what behind such that accusations
Propaganda of the west, wakifanya tukio waislam esp.Arabs ni terrorists attack tukio kama hilo likifanywa na mzungu kuwafyatulia watu risasi utasikia homicide conducted by an unknown person #the world is not fair
 
Not every Muslim is a terrorist but every terrorist is a muslim. Why?
Kwahiyo hata wale waliohusika kwenye Oklahoma Bombings na kusababisha vifo vya watu takribani 170 na wenyewe ni Waislamu wale! Hata yule Joseph Konyi aliyeua mamia ya Waganda na Wakongo na mwenyewe ni Mwislamu! Hata Taifa la Marekani linaloanzisha vita huku na kule na kuacha maelfu ya watu wamekufa na wenyewe ni Waislamu!

But am not surprised! Kwa watu wenye akili fupi, Gaidi anayejifunga mabomu na kusababisha vifo vya mamia ya watu ndio mbaya zaidi kwa sababu ana jina la Kiislamu lakini Mzungu aliyesababisha mamilioni ya watu kuuawa over the past once centuary, huyo ni okay kwa sababu ana jina la Kikristo!!!
 
we are raised to believe that, Paradise invites only those who are ready to die for their religion and die for their god. Have yu ever wondered, what type of god who can not fight for himself but sit and wait for his believers to fight for him??
In islam, fighting and even killing for the sake of Allah is the highest privilege given to man.
Beberu Mwitu
 
unakumbuka move ya wamarekani ya historia ya muhamadi ilivyo zua taharuki waislamu waliandamana dunia nzima mpaka ikafungiwa jambo usilo penda kufanyiwa usiwafanyie wenzako
Pole sana, its just Islamaphobic taboo!!!

Hofu isiyokuwapo!!!


Hata hivyo na kama sijakosea hakuna filam kwa jina LA Hamza.

Bali kuna filam kwa jina the The Messege ndani yake moja ya Character anaitwa Hamza.

Hii ni filam ya historian ya Uislam. Jinsi Uislam ulivyopatwa na Fitnah, hofu na misukosuko kutoka kwa makafiri wa Maaka hadi walipoletewa message kuwa sasa wameruhusiwa kujihami.

Ni non fiction movie.

Kuizuia filamu kama hii ni sawa na kuizuia waislam wasipropagate ya dini yao. Hii ni sawa na kuzuia mikutano ya Crusaide yaani historian ya ushindi wa vita vya msalaba dhidi ya wasio waktristo.

Taifa letu ni taifa la amani na kuvumiliana. Si taifa la mihemko, tunapigana sindano na huwa tunasubiri tu dawa iingie, akimaliza maisha yanaendelea.

Chukulia tu huyo Hamza ndie Rambo alivyokuwa anauwa kkule Afghanistan haitomaanisha kuwa anauwa wa dini ingine, Nadhani ulikwisha Iona movie hii ya Rambo sidhani kama ilileta hisia hizi unazoziona sasa.

Huu ni ushauri wa amani, tusijitengezee hofu, usiwalazimishe watu hofu inayotengezwa na mitandao huru ya jamii, ndio tumeumbwa na emotions, but usijipe haki ya hofu kutoka kwa jirani yako wa dini tofauti.


Priority to do is "don't sign unfold"
 
Not every Muslim is a terrorist but every terrorist is a muslim. Why?
Si vema kuandika jambo linalokera na kuudhi imani ya wengine, haijengi na wala haitakusaidia lolote. Ulichoandika hapa sio cha kweli, na ni kitu cha hatari sana, hata kama unaandika kwa kujifurahisha ni hatari sana kuongea jambo ambalo huna ushahidi nalo.
Kwa faida yako unawafahamu watu hawa?
Carlos the Jackal, Gerard Adams, Joaquín Guzmán, "El Chapo" Guzmán, Semion Mogilevich,etc,
Hivi EL CHAPO ni terrorist au drug dealer?
 
Uzi huu ulindwe kwa maslahi mapana ya taifa

Kuna filamu inaitwa ABU HAMZA inaendelea kule ZBC2

Kuna filamu zimejaa maudhui ya itikadi Kali sana zinarushwa bila shida na mamlaka zipo kimya kwa muda sasa

Filamu zinaonyesha wasiokuwa waislam wanauwa na kuchinjwa hadharani huku wanaouwa hupewa vyeo ,mali na wanawake

Filamu zinazonesha maudhui ya kujitoa mhanga hadi kufa kisha wanappngezwa kwa kuwauwa wasio kuwa waislamu

Filamu zinazoonesha haja ya kueneza dini kwa mauaji na mateso kwa walioikataa mpaka wakubali

Filamu inayonesha kama mwanamke sio kitu mbele ya jamii yake

Japo sheria haiitambui Zanzibar kama nchi ya kidini vilevile Tanzania bado hi filamu zisingefaa kwa dunia ya sasa na hofu ya machafuko.

Mnataka mpaka nchi ichafuke au vitendo vya ugaidi vizidi ndio mkemee


chanzo ZBC2

Mwambie Musiba.
 
Wakuu naomba kuuliza eti kumsomea mtu/watu albadili kwa mungu ni dhambi au sio dhambi mana nilikutana na jamaa yangu kwenye stori za hapa ba pale akasema ni dhambi kwa kuwa unamuhukumu mtu wakati ni kazi ya mungu majibu tafadhali
 
Not every Muslim is a terrorist but every terrorist is a muslim. Why?

Si vema kuandika jambo linalokera na kuudhi imani ya wengine, haijengi na wala haitakusaidia lolote. Ulichoandika hapa sio cha kweli, na ni kitu cha hatari sana, hata kama unaandika kwa kujifurahisha ni hatari sana kuongea jambo ambalo huna ushahidi nalo.
Kwa faida yako unawafahamu watu hawa?
Carlos the Jackal, Gerard Adams, Joaquín Guzmán, "El Chapo" Guzmán, Semion Mogilevich,etc,
Inategemea unatafsiri terrorist kwa mlengo upi ,nakupa H/W utafute waliofanya Entebbe Raid ni kina nani na dini yao ni ipi
Propaganda of the west, wakifanya tukio waislam esp.Arabs ni terrorists attack tukio kama hilo likifanywa na mzungu kuwafyatulia watu risasi utasikia homicide conducted by an unknown person #the world is not fair
Kwahiyo hata wale waliohusika kwenye Oklahoma Bombings na kusababisha vifo vya watu takribani 170 na wenyewe ni Waislamu wale! Hata yule Joseph Konyi aliyeua mamia ya Waganda na Wakongo na mwenyewe ni Mwislamu! Hata Taifa la Marekani linaloanzisha vita huku na kule na kuacha maelfu ya watu wamekufa na wenyewe ni Waislamu!

But am not surprised! Kwa watu wenye akili fupi, Gaidi anayejifunga mabomu na kusababisha vifo vya mamia ya watu ndio mbaya zaidi kwa sababu ana jina la Kiislamu lakini Mzungu aliyesababisha mamilioni ya watu kuuawa over the past once centuary, huyo ni okay kwa sababu ana jina la Kikristo!!!
Tatizo la wafia dini ndo hilo mnawah kupanic sijasema moja kwa moja ma terrorist wote ni waislam kutokana na hii dhana ya uislamu unahusishwa na terrorism kukithiri dunian ndomana mi nikauliza kwa nini?
Mi sina dini lakini naheshimu imani ya kila mmoja.
 
Chukulia tu huyo Hamza ndie Rambo alivyokuwa anauwa kkule Afghanistan haitomaanisha kuwa anauwa wa dini ingine, Nadhani ulikwisha Iona movie hii ya Rambo sidhani kama ilileta hisia hizi unazoziona sasa.
😂😂😂
 
unakumbuka move ya wamarekani ya historia ya muhamadi ilivyo zua taharuki waislamu waliandamana dunia nzima mpaka ikafungiwa jambo usilo penda kufanyiwa usiwafanyie wenzako

Ndugu ktk movie hii inayojadiliwa hapa umeiangalia na umegundua jambo gn lililoumiza imani yako?
 
Unakataa jina la Kaafiri wakati Aliyekuumba ndio anakuita hivyo.
Na hutoona Ubaya wa Matusi yako ila hivi Punde.
Endelea na dhihaka zako nawe sio wa kwanza ipo siku utaishia na Lau Lau ambayo itakuwa lau unge.
Mfuasi wa Mudy.
 
Persecution!!??
No way man that's far away relatable from this case

My I know what persecution mean to you. May b we differ in defining it.

On my side.
Any impediment to free communication constitute persecution, when institutions promote to press or media and report false information about other people, institution or religion that is persecution.

Persecution ni any hofu, chokochoko, kutishwa, kuteswa kwa vitendo au kwa kuwekewa mambo mabaya ambayo yatachafua imani yako.

Ktk Uislam Yule anaekunyanganya Uhuru huu wa kuamini na akakufitini na dini yako, mtu huyo anaakudhuru zaidi nani mbaya kuliko watu wasiojulikana.

So terrorism has no color, no religion. Its only recolor in Islam coz of persecution.

All religions followers have the terror act; there are Christian terror, Hindu terror, Jewish terror, Buddhist terror and so on. They all play a reactionary role, and they are all growing in number. But non of them label extremist except Muslim..... Why?!?!! Coz of Persecution
 
Back
Top Bottom