Hata mimi pale sikuwaelewa au walidhani Asingeenda kusemaWalikosea kumuachia yule kijana waliyemkamata
Walikuwa na option tatu ila kiongozi wao aliamua kuchukua mojawapo na alikuwa sahihi kwamba op imeshakuwa compromised hivyo wamuache yule kijana na mzee wake na ndugu yake kisha wao warudi juu ya mlima watafute mawasiliano warudi kujipanga upya ila tatizo likawa mawasiliano hayakuwa mazuriHata mimi pale sikuwaelewa au walidhani Asingeenda kusema
Wangeendelea kuwashikilia mpaka wapate mawasiliano halafu hata kimbia ya yule jamaa iliashiria kitu kuwa wanaenda kusema.Wali timiza rule of engagement,ambayo hairuhusiwi kuua raia
Acha kabisa ni hatari sana kuingia kwenye Game bila kujua Uwanja ukoje maana jamaa pamoja nakuwa na Silaha zakisasa Taliban I wako na AK47 lkn waliwatuliza
Naitafuta his move mkuu bala saana walichapwa kinomaaa na ni based on true story....
Kosa lao ilikuwa ni kuchukulia kibinadamu
Hii ni story inayoelezea jinsi wanajeshi wa Marekani walivyoenyeshwa na WATALIBAN kwenye milima ya Afghanistan.
Ukitaka kufahamu kwanini wanapeleka makomandoo wachache vile katika misheni tafuta documentary za SEAL Team uone shughuli yake.Naona lile suala la wamarekani ghafla kutokewa na jambo wasilotarajia na kuzuka ubishi mkubwa baina yao ya '' je tuwamalize hawa wachunga-mbuzi au la '' ndilo lililosababisha kushindwa kumaliza misheni yao na kupelekea makomandoo karibia wote kumalizwa ila mmoja kubaki hai na kusimulia mkasa mzima wa ''kuweka utu mbele''.
Ndo hivyo utafundishwa yote yahusuyo ukomandoo lakini kutokana na mazingira waliyokulia wamarekani kutotegemea kukutana na familia ya wachunga mifugo vileleni mwa milimani yenye majabali/ vichaka ikawaondoa umakini /focus ya jinsi ya kumaliza misheni yao kuu ya kummaliza kiongozi wa Taliban. Ugenini ni Ugenini tu.
Hii ni story inayoelezea jinsi wanajeshi wa Marekani walivyoenyeshwa na WATALIBAN kwenye milima ya Afghanistan.
Published on 14 Jan 2015
Immigration Attorney Michael Wildes Secures Safe Passage for Afghan Hero Mohamed Gulab, who saved Navy Seal Marcus Luttrell as famously depicted in the film "Lone Survivor"
Mohamed Gulab, who saved the Navy SEAL Marcus Luttrell from the Taliban, has successfully fled Afghanistan with his family. Michael Wildes, Managing Partner of Wildes and Weinberg, P.C. is pleased to announce that his client, Mohammed Gulab, is now out of Afghanistan with his family. Wildes stated: "He is now out of Afghanistan, a refugee under international law. He is a man who now seeks safe haven to avoid being sent back with his family by any government that would have the gall to put him in harm’s way."
“I have received word from the U.S. government that Mohammed’s case is currently under review for, what I hope will be the resettlement of him and his family here in the United States,” stated Managing Partner, Michael J. Wildes.
For those who may not be familiar with Mohammed Gulab, an Afghani goat herder, Gulab, took on the role of protector for a wounded Navy SEAL Luttrell against all odds. Wounded, alone and outnumbered, Navy SEAL Luttrell had little chance of survival in the hills of Afghanistan, an area controlled by the ruthless Taliban. Gulab displayed instinctual courage and humanity by rescuing the SEAL, and ensuring his safety back to his U.S. military unit. From that moment, Mr. Gulab was a marked man. Since Navy SEAL’s Luttrell’s rescue, Mr. Gulab was shot and he and his family suffered ongoing violent attacks. In recent months, the Governor of the province where Gulab lived ordered his Commanders and the Taliban Mujahideens "to kill Gulab" stating: "I hope the suicide bombers or Taliban brothers will fulfill my order...send you to the grave...asking why you did not perform Jihad and why you handed over the Jewish, non-Muslim soldier to the Americans".
Michael Wildes, a former Federal Prosecutor (U.S. Attorneys Office) and Mayor (Englewood, New Jersey) added: "Our government can take ownership by granting Mr. Gulab and his family refugee status, so that they can resettle permanently in the United States. We will continue to work with the U.S. government on Mr. Gulab’s behalf to embrace this extraordinary hero and provide the safe haven to him and his family. We can never forget his courage and hospitality he once provided by opening his humble home’s door to our wounded soldier."
Immigration Lawyer Michael Wildes on Hero Client Mohammad Gulab
Kuwaachia wale wachunga mbuzi lilikuwa ni kosa kubwa sana, huku wakijua kuwa radio signal zimeshakata.Hao ni watu wanne waliokwenda mission ya kuchukua surveillance ya Shah....
Bahati mbaya mission ikawa compromised. ....
Huezi linganisha wanajeshi wanne hata kama ni makomando na kile kikosi cha Taliban
Pili jama walikuwa wanashambuliwa na rocket rangers etc etc kiukweli walikuwa hawana power pale ila wamejitahidi kama commandos..
Wajinga ni wale walioona hakuna mawasiliano hawakupata red sign pia wameenda kuremba helicopter yao ikachapwa down wale ndo mbuzii..
Hii ni moja ya true story ambayo wa america wame record a failed mission. ....
Siku hizi waki fail mission wanachomoa faster wamejifunza mistakes za nyuma...
Hii inagusa saana moyo asee..
Vita isikie tu boss
Ni kweli, mawasilano ualiwaangusha sana.Communication ilikuwa poor na walielewa hilo so kinda comm iliwa let down...
Cha pili walipowashika wale wasingefuata kanuni wangeondoka wawaache wamewafangua labda wangeweza kufika pahali wakapata comm wakawa extracted coz mission was already cancelled coz it was compromised.
Hii kitu applied in life kuna time wewe usiwaonee huruma watu when it comes to ur survival son...
My take