dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Kama vipi siunaweza kuiDownlodNaitafuta his move mkuu bala saana walichapwa kinomaaa na ni based on true story....
Kosa lao ilikuwa ni kuchukulia kibinadamu
Kama vipi siunaweza kuiDownlodNaitafuta his move mkuu bala saana walichapwa kinomaaa na ni based on true story....
Kosa lao ilikuwa ni kuchukulia kibinadamu
Yaaap....ila nimecheka pale kwenye Lugha gongana Jamaa anataka Kisu dogo analeta BATA....akiambiwa Baba nae analeta KISU akidhani anataka kwajili yakumchinja yule BataMohammad Gulab alitoa Msaada mkubwa sana
Hahahaah pale panachekesha sana.Yaaap....ila nimecheka pale kwenye Lugha gongana Jamaa anataka Kisu dogo analeta BATA....akiambiwa Baba nae analeta KISU akidhani anataka kwajili yakumchinja yule Bata
Dogo anaonekana kuwa na roho ya huruma, ila haya matukio huwa yanawaharibu sana watoto hasa Kisaikolojia.Yaaap....ila nimecheka pale kwenye Lugha gongana Jamaa anataka Kisu dogo analeta BATA....akiambiwa Baba nae analeta KISU akidhani anataka kwajili yakumchinja yule Bata
Wangeendelea kuwashikilia mpaka wapate mawasiliano halafu hata kimbia ya yule jamaa iliashiria kitu kuwa wanaenda kusema.
Hii muvi ya 2013.Hii ni moja ya filamu nilizozipenda mwaka uliopita. Kama kweli wamarekani walipitia Yale yanayooneshwa basi walipigika haswa
Hii muvi ya 2013.
Okay.!Hii muvi ya 2013.