Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
- Thread starter
- #21
<br />Usipofanya wanavyotaka hao wazungu, wanakuondoa madarakani ama kuidhoofisha serikali yako.Mfano Gaddafi,Mugabe,lumumba,Nkrumah etc.Interest zao ni first.Hatujapata uhuru kamili.Nani alaumiwe?
<br />
Mushi!
Nafasi ya waafrika wachache wanaowasaidia wazungu hao iko wapi? Na viongozi legelege ambao hawajui nchi yao inaenda wapi ni tatizo la wazungu?
Tuendelee kujadili.