Fikra: Wazungu na Tanzania!

Kama hujui historia,then achana na siasa.Inaonekana wengi humu kwenye jukwaa la siasa hawajui history na how imeshape the current world.

Mitazamo hii ndo inayoendelea kutudumaza siku hadi siku. Kwani mataifa mengine hayakuwa na Historia? Mbona yamefanikiwa kuendelea pamoja na hizo historia zao? Je unafahamu kwamba kwa kutumia vigezo mbalimbali vya maendeleo ( mfano pato la taifa, huduma mbali mbali za jamii- elimu an afya, nk) Tanzania haikuwa mbali sana ukilinganisha na mataifa mengi ya Asia kama Malasia, Thailand, Indonesia nk. Leo mataifa hayo yameendelea sana wakati sisi tunaendelea kushadadia majibu mepesi ya HISTORIA yetu. Kweli historia inachangia kutufanya jisnsi tulivyo, lakini hilo lina ukomo. Kinachotakiwa sasa ni sisi wenyewe kuhakikisha kwamba tunaweka mifumo itakayotuwezesha kushiriki kikamilifu katika utandawazi kwa maslahi ya Taifa. Tusifikiri kwamba kuna mzungu atakuja kufanya biashara hapa kwa lengo la kutuendeleza. Tukilemaa watafanya biashara, watachuma na kutuacha patupu( hicho ndicho kinachotokea kwenye sekta ya madini na Utalii). Tukijipanga, watafanya biashara na sisi tutavuna stahili yetu. Kama wengine wamewez, kwa nini sisi tushindwe?
 
Alberto !! Alberto!!
Wewe ni mwanasheria kwa maana hiyo sii mvivu wa kusoma vitabu. tafadhali saana kwa heshima na taadhima tafuta kitabu cha "The Capitalist Nigger" by Chika Onyeani (kipo mtandaoni: Capitalist Nigger - A self published book prepared by Five Corners Press) tafadhali soma then nafikiri utakuja na mawazo tofauti kabisa.




We all saw what happened in Loloiondo (Babu na Kikombe). Now picture yourself in the western world watching news with your white friends or even people from other races and such disgusting pictures are airing and the country of your birth is mentioned. What do you think these people who have never set foot in your country to see other magnificent places like white sandy beaches and game parks will think about you. Your people are just a godforsaken people and their lives are as dark as their own charred bodies and not forgetting the deplorable housing conditions. And then you ask why other people hate blacks ,,there is your answer. Lesson: we should RESTORE OUR DIGNITY before even thinking about mega infrastructures and other lofty projects.
 
Tusiwasingizie wazungu kwa Uzembe wetu. Mbona hata World Bank na IMF wanaishangaa Tanzania kwa jinsi isivyopata malipo ya kutosha kwenye mauzo ya dhahabu? Kuna mzungu gani Mtanzania aliyesaini mikataba hiyo mibovu? Sisi wenyeweeeeee. Mbona wazungu hao hao wanaiendeleza Africa kusini na imekuwa the power of Africa? Kushindwa tushindwe wenyewe halafu tuwalaumu wazungu! Tukiwatumia vizuri kwa uangalifu tutafanikiwa badala ya kuanza lawama zisizo za msingi.
 
Back
Top Bottom