Fikra kuhusu watu wakimya

Umuhirindahu

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
349
Reaction score
170
Wana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....

 
Wana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....

Mifano kidogo ili tukupate vizuri ambao bado hatujakuelewa! Je, una maanisha introvert na extrovert?

[video=youtube_share;c0KYU2j0TM4]http://youtu.be/c0KYU2j0TM4[/video]
 
Mm ni mkimya hasa kwa watu wagen kwangu ila mkimya kias kidogo nyumbani. Ila megundua ukimya umenifanya baadhi ya watu siwez kuongea nao kabisa wala kuwa nao karibu. Sifa mojawapo ya watu wakimya hupenda kusikiliza kwa makin na kuzisoma tabia na hisia za wengine hivyo hujikuta wale ambao umewaona huendan nao ni vigumu sana kuwa nao karibu na huwa wakimya wengi wanajua mengi juu ya mawazo ya wengine
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…