Anayo amini ni sahihi ni yapi? Najisadikisha tulimpenda M/kiti wetu lakini sioni aibu kusema amechelewa! Amefumba macho mda mrefu sasa anakumbuka mswaki lunch time? Yote kheri na afanikiwe lakini ajue magamba yapo! Na siamini kama **** kujivua bali nikupiga moyo konde kuwavua kwani si wanawajua! kama sisi wana CCM tunawajua? Naamini huwezi imba wimbo usioujaa! Viongozi wetu wanaujua wimbo "GAMBA" sasa nawaumbe kikwelii