Anayo amini ni sahihi ni yapi? Najisadikisha tulimpenda M/kiti wetu lakini sioni aibu kusema amechelewa! Amefumba macho mda mrefu sasa anakumbuka mswaki lunch time? Yote kheri na afanikiwe lakini ajue magamba yapo! Na siamini kama **** kujivua bali nikupiga moyo konde kuwavua kwani si wanawajua! kama sisi wana CCM tunawajua? Naamini huwezi imba wimbo usioujaa! Viongozi wetu wanaujua wimbo "GAMBA" sasa nawaumbe kikwelii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.