Waafrika tujitafakari haiwezekani watu wote tuwe na mwaka mpya kwa pamoja

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
607
553
Hii haijakaa vzr kabisa hasa ukizingatia kila mtu ana tarehe yake ya kuzaliwa ambayo ndiyo mwaka mpya wake apopaswa kuazimisha.

Kitu nilichogundua mimi ni kila jamii kuwa na maadhimisho kwaajili ya msimu fulani kama vile kukaribisha mvua au mavuno,nk

Huu ujinga wa kusema leo tunaadhimisha mwaka mpya bado ni ukoloni mambo leo na fikira potofu yafaa mwaka mpya kila mmoja aadhimishe kwa tarehe yake na kwa faida yake siyo kusimamisha shughuli kwa kitu cha uongo.
 
Hii haijakaa vzr kabisa hasa ukizingatia kila mtu ana tarehe yake ya kuzaliwa ambayo ndiyo mwaka mpya wake apopaswa kuazimisha.

Kitu nilichogundua mimi ni kila jamii kuwa na maadhimisho kwaajili ya msimu fulani kama vile kukaribisha mvua au mavuno,nk

Huu ujinga wa kusema leo tunaadhimisha mwaka mpya bado ni ukoloni mambo leo na fikira potofu yafaa mwaka mpya kila mmoja aadhimishe kwa tarehe yake na kwa faida yake siyo kusimamisha shighuli kwa kitu cha uongo.
Kama Ni uongo kwanini unaufata huo uongo?
 
Vipi na Siku za juma kila mtu awe na zake?
Inawezekana kabisa ni utaratibu tu wa mtu,kijiji,kata,tarafa,wilaya,mkoa au taifa kuwa na siku zao za wiki au tarehe zao za mwaka mpya au kuzaliwa.

Kwani maisha hayataenda ikiwa kila mtu atakuwa na siku zake za wiki?

Mbona wanawake kila mmoja ana siku zake za breed na maisha yanaenda?

Ni ujinga tu wa kujiendekeza kwani ktk ulimwengu huu kuna sehemu hawana tarehe,siku wala wiki na maisha yanaenda.

Nakusaidia hapa chini na uwe unashughulisha akili yako siyo kukurupuka kenge weweView attachment 2859424
View attachment 2859426
 
Kuna kalenda zaidi ya moja hapa duniani wewe umekariri ya mabwana zako wazungu kama walivyokulisha
Lazima kuwe na utaratibu fulani wa kuiongoza dunia, kila mtu awezi kuwa na taratibu zake. Lakini hujazuiwa kusherehekea mwaka wako uliozaliwa kama mwaka mpya wako.
 
Inawezekana kabisa ni utaratibu tu wa mtu,kijiji,kata,tarafa,wilaya,mkoa au taifa kuwa na siku zao za wiki au tarehe zao za mwaka mpya au kuzaliwa.

Kwani maisha hayataenda ikiwa kila mtu atakuwa na siku zake za wiki?

Mbona wanawake kila mmoja ana siku zake za breed na maisha yanaenda?

Ni ujinga tu wa kujiendekeza kwani ktk ulimwengu huu kuna sehemu hawana tarehe,siku wala wiki na maisha yanaenda.

Nakusaidia hapa chini na uwe unashughulisha akili yako siyo kukurupuka kenge weweView attachment 2859424
View attachment 2859426
Breed Ni Nini?
 
Hii haijakaa vzr kabisa hasa ukizingatia kila mtu ana tarehe yake ya kuzaliwa ambayo ndiyo mwaka mpya wake apopaswa kuazimisha.

Kitu nilichogundua mimi ni kila jamii kuwa na maadhimisho kwaajili ya msimu fulani kama vile kukaribisha mvua au mavuno,nk

Huu ujinga wa kusema leo tunaadhimisha mwaka mpya bado ni ukoloni mambo leo na fikira potofu yafaa mwaka mpya kila mmoja aadhimishe kwa tarehe yake na kwa faida yake siyo kusimamisha shughuli kwa kitu cha uongo.
Napenda fikra tofauti mfano mm sitaki tena Maswala Umri , Siku za wiki, siku za ibada
 
Kusherehekea mwaka mpya kila tarehe 01.01 ni utaratibu wa kidunia?nani kakudanganya?je, unatambua kuwa kuna watu wanasheherekea mwaka mpya tofauti na tarehe 1.1?
Huna akili, Wachina Wana kalenda Yao, na Waethiopia Wana kalenda Yao, wewe unatumia kalenda ipi?
 
Waafrika ni wamoja, Afrika ni moja rejea "UBUNTU" mipaka yote unayoiona leo ni ya kuletewa tu..
 
Inawezekana kabisa ni utaratibu tu wa mtu,kijiji,kata,tarafa,wilaya,mkoa au taifa kuwa na siku zao za wiki au tarehe zao za mwaka mpya au kuzaliwa.

Kwani maisha hayataenda ikiwa kila mtu atakuwa na siku zake za wiki?

Mbona wanawake kila mmoja ana siku zake za breed na maisha yanaenda?

Ni ujinga tu wa kujiendekeza kwani ktk ulimwengu huu kuna sehemu hawana tarehe,siku wala wiki na maisha yanaenda.

Nakusaidia hapa chini na uwe unashughulisha akili yako siyo kukurupuka kenge weweView attachment 2859424
View attachment 2859426
Niliwahi kuuliza Mtoto huchukua miezi Tisa kuzaliwa iweje tusherekee umri mpya kila baada ya miez 12 hatuoni kuwa twaiba mitatu ya ziada
 
Ili uwe na mwaka mpya wako inabidi pia uwe na Calendar yako uache kufuata Gregorian calendar. Ethiopia wana Calendar yao na huwa wana mwaka mpya wao kama ilivyo China ,na Nchi nyingine ingawa bado huwa wanasheherekea mwaka mpya wa Gregorian Calendar
 
Back
Top Bottom