Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,478
- 24,348
Naomba kujuzwa hofu ni siri za mapato zitakuwa hadharani au ni nini?
Au labda huwa na ajenda za siri?
Inanishangaza sana hasa inapofikia hatua ya kupandikiza madiwani au kuongeza idadi ya watu ambao si madiwani WA eneo husika!
je katiba inasema hivyo hasa kuhusu uchaguzi wa MAYOR!
Mwenye kufahamu atujuze! although kila kitu kipo dhahri!
Au labda huwa na ajenda za siri?
Inanishangaza sana hasa inapofikia hatua ya kupandikiza madiwani au kuongeza idadi ya watu ambao si madiwani WA eneo husika!
je katiba inasema hivyo hasa kuhusu uchaguzi wa MAYOR!
Mwenye kufahamu atujuze! although kila kitu kipo dhahri!
Last edited: