Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,199
- 37,526
Heshima sana wanajamvi.
Mbunge wa Monduli Fred Elowassa kaliwa kichwa pamoja na kushinda kwa kishindo kura za maoni.
Ikimbukwe katika msiba wa Baba yske Fred Marehemu Ngoyai Mzee Chikwete hakupewa nafasi ya kutoa salamu.
Inasemekana jambo hilo lilimkera sana Rais Mstaafu kiasi cha kupandwa na hasira kali hadi mwili kutetemeka kama mgonjwa wa kifafa.
Mzee wa visasi akaapa kumtia adabu Fred na familia kwa ujumla ambayo iliweza kumpatia nafasi ya kutoa salamu mzee wa anga.
Mzee wa visasi ambaye kwasasa ni Rais nyuma ya Rais anayejulikana akatoa amri kuu CCM wabadili katiba ya kuwawezesha Viongozi wakuu kutengua maamuzi ya wananchi.
Ngongo kwasasa Monduli ndani ya kikao cha marafiki wa Fred tukijadili kwa kina kifuatacho.
Mbunge wa Monduli Fred Elowassa kaliwa kichwa pamoja na kushinda kwa kishindo kura za maoni.
Ikimbukwe katika msiba wa Baba yske Fred Marehemu Ngoyai Mzee Chikwete hakupewa nafasi ya kutoa salamu.
Inasemekana jambo hilo lilimkera sana Rais Mstaafu kiasi cha kupandwa na hasira kali hadi mwili kutetemeka kama mgonjwa wa kifafa.
Mzee wa visasi akaapa kumtia adabu Fred na familia kwa ujumla ambayo iliweza kumpatia nafasi ya kutoa salamu mzee wa anga.
Mzee wa visasi ambaye kwasasa ni Rais nyuma ya Rais anayejulikana akatoa amri kuu CCM wabadili katiba ya kuwawezesha Viongozi wakuu kutengua maamuzi ya wananchi.
Ngongo kwasasa Monduli ndani ya kikao cha marafiki wa Fred tukijadili kwa kina kifuatacho.