Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 1,054
- 1,615
Mpira wa Africa haupo stable na haupo serious. Licha wa Africa wengi kuwa na wendawazimu wa mpira labda uongozi wa mpira Africa ni kama Wana project yao tofauti na matarajio wa watu wengi.
Na kitu cha kushangaza zaidi asilimia kubwa ya timu za Africa zinazofanya vizuri kwenye AFCON huwezi kuona timu zao za ndani zikifanya vizuri kwenye michuano ya klabu bingwa Africa. Hapa mpira wa Africa ndio unaanza kutokuwa serious.
Africa tunawekeza zaidi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja usishangae sana Azam Ina uwanja na Ihefu ilikuwa na uwanja lakini Simba na Yanga combined hazina uwanja 😆👋
Turudi huko duniani, kule marekani hakuna hata timu ya Africa iliyoweza narudia tena "Iliyoweza" kutinga kwenye makundi ya michuano hiyo namaanisha hakuna timu hata moja. Unajiuliza
Tunarudi pale pale huku kwetu tumewekeza zaidi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja.
Hivi unajiuliza..
1. Kwanini goli la Aziz dhidi ya Mamelod Sondowns lilikataliwa?
2. Kulikuwa na ulazima gani mechi ya Bernakane na Orlando Pirates mwaka juzi kupelekwa Nigeria kwa kisingizio cha uwanja wakati South Africa Ina miundo bora kabisa ya viwanja vya mpira?
3. Kulikuwa na ulazima gani wa kupeka mechi ya Simba dhidi Berkane uwanja wa Amaan Zanzibar kwa kisingizio cha hali ya hewa na wakati wataalamu walisha idhibitishia CAF kwamba siku hiyo hali ya hewa itakuwa shwari?
Ndio maana hata kocha wa Simba Fadlu Davis alisema 80% ya mambo yaliyofanya timu yake kushindwa kubeba taji lolote msimu huu kumesababishwa zaidi na mambo yalikuwa yanaendelea nje ya uwanja.
Mwisho wa siku ukiwa na akili timamu uangundua mpira wa Africa ni kama upo kwa ajili ya maslahi ya watu fulani. Hali inayopelekea kutopata timu za kweli zinazopaswa kushindana kwenye ngazi yeyote. Hali inayopelekea tumedhalilishwa huko duniani.
Bila vijapi halisi pesa ipo kutimiza wajibu tu.
Na kitu cha kushangaza zaidi asilimia kubwa ya timu za Africa zinazofanya vizuri kwenye AFCON huwezi kuona timu zao za ndani zikifanya vizuri kwenye michuano ya klabu bingwa Africa. Hapa mpira wa Africa ndio unaanza kutokuwa serious.
Africa tunawekeza zaidi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja usishangae sana Azam Ina uwanja na Ihefu ilikuwa na uwanja lakini Simba na Yanga combined hazina uwanja 😆👋
Turudi huko duniani, kule marekani hakuna hata timu ya Africa iliyoweza narudia tena "Iliyoweza" kutinga kwenye makundi ya michuano hiyo namaanisha hakuna timu hata moja. Unajiuliza
- Al Ahly inakosa nini?
- Masandawana (Mamelod) inakosa nini?
- Wydad Inakosa kipi ambacho Botafogo wanacho?
Tunarudi pale pale huku kwetu tumewekeza zaidi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja.
Hivi unajiuliza..
1. Kwanini goli la Aziz dhidi ya Mamelod Sondowns lilikataliwa?
2. Kulikuwa na ulazima gani mechi ya Bernakane na Orlando Pirates mwaka juzi kupelekwa Nigeria kwa kisingizio cha uwanja wakati South Africa Ina miundo bora kabisa ya viwanja vya mpira?
3. Kulikuwa na ulazima gani wa kupeka mechi ya Simba dhidi Berkane uwanja wa Amaan Zanzibar kwa kisingizio cha hali ya hewa na wakati wataalamu walisha idhibitishia CAF kwamba siku hiyo hali ya hewa itakuwa shwari?
Ndio maana hata kocha wa Simba Fadlu Davis alisema 80% ya mambo yaliyofanya timu yake kushindwa kubeba taji lolote msimu huu kumesababishwa zaidi na mambo yalikuwa yanaendelea nje ya uwanja.
Mwisho wa siku ukiwa na akili timamu uangundua mpira wa Africa ni kama upo kwa ajili ya maslahi ya watu fulani. Hali inayopelekea kutopata timu za kweli zinazopaswa kushindana kwenye ngazi yeyote. Hali inayopelekea tumedhalilishwa huko duniani.
Bila vijapi halisi pesa ipo kutimiza wajibu tu.