FIFA kuja na mabadiliko kadhaa kwenye soka ikiwemo kupunguza muda mpaka dakika 60

Hawa kweli mataaila hizo tisini watu tunaona hazitoshi wao wanataka wapunguze.....mxiiiiiiiiiiiiiiw
 
mi nadhani ingekuwa busara akaongeza kila kipindi ndio iwe dakia 60,yani kipindi cha kwanza dakika 60 kipindi cha pili dakika 60,extra time iwe dakika 40 penalti ziwe 10 kwa 10,kusiwepo na offsaid na kadi nyekundu iondolewe iwe kadi ya njano,na nyeusi,yani mchezaji akifanya kosa anapwa kadi ya njano,akirudia anapigwa tena kadi ya njano,akirudia mara ya tatu anapigwa tena kadi ya njano,mara nne anapigwa kadi nyeusi ya kumsimamaisha kucheza mpira kwa muda wa miezi mitatu
wewe kweli akili tatu dah...nimecheka sana leo
 
mi nadhani ingekuwa busara akaongeza kila kipindi ndio iwe dakia 60,yani kipindi cha kwanza dakika 60 kipindi cha pili dakika 60,extra time iwe dakika 40 penalti ziwe 10 kwa 10,kusiwepo na offsaid na kadi nyekundu iondolewe iwe kadi ya njano,na nyeusi,yani mchezaji akifanya kosa anapwa kadi ya njano,akirudia anapigwa tena kadi ya njano,akirudia mara ya tatu anapigwa tena kadi ya njano,mara nne anapigwa kadi nyeusi ya kumsimamaisha kucheza mpira kwa muda wa miezi mitatu
ama kweli we akili tatu ntawafkishia fifa maoni yako mkuu
 
Hawa jamaa wanataka kutupunguzia ladha ya soka. Sasa dk 60 kweli nikalipie hela yangu ya kiingilio pale Taifa ? Sasa nitakuwa nimepata ladha gani kwa hizo dk 60?

Bora wangeongeza dk 120 ili muda uwe wa kutosha jamani.

Mawazo yako na yangu ni sawia kabisaa. Waongeze zifike 120, na sio ku2punguzia.
 
Back
Top Bottom