who score the goal for buluda
Mkuu, jina lake kwangu ni gumu kidogo ila uanmfahamu kabisa, anavaa Jezi namba 3
who score the goal for buluda
Mkuu, jina lake kwangu ni gumu kidogo ila uanmfahamu kabisa, anavaa Jezi namba 3
goli la kwanza la Dante he made the same mistake....naona anazeeka vibaya. Italy should look for new number one.!Questions have to be asked over Gianluigi Buffon there. He will be disappointed with his initial save from Marcelo's shot and looked sluggish in responding to the rebound.
Mkuu, jina lake kwangu ni gumu kidogo ila uanmfahamu kabisa, anavaa Jezi namba 3
wapi GANG CHOMBA na JUVE2012???????????????????????????????????????????
Sidhani kama kuna mtu alitarajia kama ITALY atafungwa kirahisi kama hv
wataliano huwa wana imani fulani ktk utamaduni wao inayowaelekeza kutokupambana sana pasipo ulazima.mara nyingi imani hiyo huwaponza kwenye mechi za kirafiki,kukamilisha ratiba na kufunga magoli mengine wakishatangulia kufunga.ndio maana ni ngumu kusikia Italia kashinda 4-0,5-1,huwezi kusikia scoreline za hivi kwa Azzuri.imani hiyo huwaponza sana.hawapendi kuwa butcher.!ni imani yao ya zamani.
Mourinho, GANG CHOMBA na mwenzie JUVE2012 wanaangalia mpira au wamelala?
Mi nafikiri walikuwa wanaota muda lengwa!
Kha ha ha ha haaaaaaa!
Niliwatakia kila la Kheri Italy lakini ndiyo hivyo.
FULL TIME;
BRAZIL 4 ITALY 2
Mourinho, GANG CHOMBA na mwenzie JUVE2012 wanaangalia mpira au wamelala?
goli la kwanza la Dante he made the same mistake....naona anazeeka vibaya. Italy should look for new number one.!
wapi GANG CHOMBA na JUVE2012???????????????????????????????????????????
Sidhani kama kuna mtu alitarajia kama ITALY atafungwa kirahisi kama hv
Mkuu Kumbuka EURO mwaka, ITALY alikaa 4 bila tena ilikuwa ni fainal. Ngoja tune mkikutana na Spain Baba ya Mpira duniani mtaoga ngapi.
goli la kwanza la Dante he made the same mistake....naona anazeeka vibaya. Italy should look for new number one.!