Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
JUVE2012 kishakuja kujitetea kwa sauti ya upole kabisa akiwa na majeraha yake moyoni, GANG CHOMBA uko wapi uje na misemo yako???????????????
Usigeuze sikio kusikiliza ya wenzio...
JUVE2012 kishakuja kujitetea kwa sauti ya upole kabisa akiwa na majeraha yake moyoni, GANG CHOMBA uko wapi uje na misemo yako???????????????
Nini wewe?
Unachuma dhambi kwa kumzihaki Gianluigi Gigi Buffon.
Buffon ni numero uno hapa Duniani.
Hana wa kufanana nae wala wa kumkaribia.
Ni kipa ambaye akifungwa basi mabeki wanakwenda kuokota mpira na kuurusha kati ili watu wauanzishe...
Mkuu EMT,
Kwa upande wa maandalizi hakuna shaka kwasababu kwa Brazil hata i''kibidi watu wale'' nyasi yatafanikiwa tu.
Kitu kilichonifurahisha ni kupata ile ladha kamili ya kuangalia na kusikiliza soka kama lilivyo na ilivyozoeleka.
Tofauti na South Afrika hapa unasikia ile mandhari ya uwanja kwa ushangiliaji au hata kuzomea ili mradi shamra shamra.
Hakuna kelele za kipuuzi kama za vuvuzela.
Vuvu zela ilikuwa kero sana si kwa wenzetu hata mimi niliichukia sana. Of course haikuandikwa sana kwasababu ya kuogopa mambo ya race, ukweli utabaki pale pale Vuvu zela ilikuwa nuisance and primitive way ya shamra shamra na ilifanya mashindano yapoteze ladha.
Kuhusu goal-line technology hiyo nimeikaribisha sana lakini FIFA wangekuwa na utaratibu wa 'review' pale penye utata.
Lile goli la Brazili lililopatikana kwa mkwaju wa adhabu ukiangalia vizuri sana utagundua kuwa beki wa Italy hakufanya rafu.
Kilichotokea ni mchezaji wa Brazil kupoteza mpira na haraka akachomeka mkuu wake katikati ya yule beki kutafuta penalty.
Waamuzi hawajagundua mbinu ya Brazil ya kujiangusha na wakati mwingine kulazimisha adhabu kwa ''exaggeration''
Pamoja na umahiri wao wa soka hili ni jambo linalotia maudhi sana. Kwamba wakiwa na mpira basi wasinyang'anywe hadi wafunge. Unakumbuka last world cup kuna refa aliwakalia kidete hadi wakaacha ujinga huo wa kujiangausha.
na la pili kuna mtu alikuwa offside upande wa Dante na mpira ulikwenda uelekeo ule ule na Dante mwenyewe alizidi mkono.frankly speaking,yule refa atakuwa Mtahiti maana na lile goli letu la pili vichekesho tupu!
goli la kwanza la Dante he made the same mistake....naona anazeeka vibaya. Italy should look for new number one.!
Kuhusu goal-line technology hiyo nimeikaribisha sana lakini FIFA wangekuwa na utaratibu wa 'review' pale penye utata. Lile goli la Brazili lililopatikana kwa mkwaju wa adhabu ukiangalia vizuri sana utagundua kuwa beki wa Italy hakufanya rafu.
Kitu kilichonifurahisha ni kupata ile ladha kamili ya kuangalia na kusikiliza soka kama lilivyo na ilivyozoeleka.
Tofauti na South Afrika hapa unasikia ile mandhari ya uwanja kwa ushangiliaji au hata kuzomea ili mradi shamra shamra. Hakuna kelele za kipuuzi kama za vuvuzela.
Vuvu zela ilikuwa kero sana si kwa wenzetu hata mimi niliichukia sana. Of course haikuandikwa sana kwasababu ya kuogopa mambo ya race, ukweli utabaki pale pale Vuvu zela ilikuwa nuisance and primitive way ya shamra shamra na ilifanya mashindano yapoteze ladha.
afrodenzi umepokea kigongo hicho, ha ha ha ha
Nadhani Tahit wana haki kabisa kwasababu walishindana''si viti maalum''. Tunakumbuka kuwa miaka iliyopita Ziare iliwahi kuchapwa 9. Kwahiyo hoja ya kuwa Tahiti inakera haina maana. Hivi leo Nigeria akilambwa 6 tutasemaje? maana leo lazima alambwe tu sioni mahali pa kutokea.
Mkuu, hebu rudia ile faulu iliyoleta goli, ni wazi kabisa mchezaji wa Brazili aliingiza mguu makusudi na kujirusha.
Kwakweli mimi siyo mshabiki wa Brazil kwasababu ya kujiangusha, ku-exaggerate n.k.
Ndio maana siku zote EPL ni bora duniani kwasababu kama unakunywa chai na kitumbua na lunch ya mlenda au mgagani ukianguka no one cares soka linakwenda mbele.
Nawapenda German maana wao ni kazi tu kuanguka ni dhalili, nawapenda Netherland kwakutandaza bila kujiangusha hovyo.
Spain na Portugal mhhh aa wanajaribu kuiga latin America kwa kiasi fulani.
Hawa wanaijeria hawana uzalendo kabisa, nahisi huenda hawakupewa posho......!!Spain 3
Nigeria wancheza kama wamechoka sana sijui hawajapewa fedha! yaani ni horrible tu
Siyo ile ya akina Olisei, JJ.
Shame on you nigeria
Spain fainali hiyo,naiona