kwa wale wenye pc zenye specs ndogo,
fungua file la configuration kila kitu eka low,
kisha nenda my documents, tafuta fifa 17 then utaona kuna file linaishiwa na .ini lifungue na notepad badili resolution iwe kama 800x480, utacheza smooth tu na graphics sio mbaya sana.
pc kuanzia 2nd gen cpu zake zina nguvu kucheza hili game.