Ha ha ha nilisahau wewe mzee shiiiiii, stimu
Muombee na mtajwa hapo juu aache, kwa vile usiku na wewe siunapta harufu?
Ha ha ha ha, leo yuko wapi? au umemchosa sana wk end hii?
Salaam Aleykhum waungwana!
Nimesikitika sana, hizi picha zina dhalilisha wakaka! Mwanzishaji wa hii tungo kuwa fair kwa kuweka picha za wadada pia nina amini walikuwepo.
Nawakilisha
Masa in Pemba
Ha ha ha ha, picha number 3 kwenye thread kuna wadada angalia vizuri. Nilipigwa mkwara sana nilivyoweka za kitchen part siku ile sirudii tena kuna 1 ni mkali sana.
walidokezwa kwamba viwanda vya pombe vitafungwa baada ya hii fiesta?....mhhh kazi ipo.
Ilikuwa raha tupu siunaona kanga tumetandika chini namwimbia mama mashairi mazuri unamjua mama mwenyewe ni nani? BHT usimwambie mtu lakini.
Makubwa,Kama kuna jambo mojawapo huwa namshukuru Mungu ni kuniepusha na hobby za mateso kama hizi.
mweeeeeeeeee nguli ndo nini sasa....we naona hujanisoma nitakuacha sasa hivi hapa hapa tulipokutana!!!!
HAhahahaha huyu ndo Xpin mwenyewe dah naona Serengeti zilimchosha
Hii ndo imetia fora huyu jamaa alie lala kwenye wowowo tukunyema balaa.
Punguza jaza mama,
BHT listen baby.....
True friendship is a gift
Oh so precious and so rare
Sometimes we take it for granted
Sometimes we do despair
Our fault is being human
Mistakes are everywhere
Please let me not lose the gift
That is so precious and so rare.
Salaam Aleykhum waungwana!
Nimesikitika sana, hizi picha zina dhalilisha wakaka! Mwanzishaji wa hii tungo kuwa fair kwa kutoweka picha za wadada pia nina amini walikuwepo.
Nawakilisha
Masa in Pemba
Bora mimi nilieenda Biafra kula Neno