Fiesta special-nani aliyetia fora?

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Style nyingine za kulala hizi? Mh! No comment for me.




KAA BIG BROTHER VILE






 

Attachments

  • ANATAJKA.bmp
    312.9 KB · Views: 403
  • BAUNSA AMECHOKA.bmp
    312.9 KB · Views: 384
  • BIG BROTHER.bmp
    354 KB · Views: 372
  • FUNGA MDOMO.bmp
    312.9 KB · Views: 371
  • HE HE.bmp
    312.9 KB · Views: 389
eeeh ndo fiesta gani hiyo jamani
badala ya kufurahia inakuwa karaha
Nguli hiyo picha ya pili niwewe binamu ...natania
 
Mpe masikini kilevi asahau shida zake........







 

Attachments

  • OYEAAA.bmp
    312.9 KB · Views: 238
  • PICTURES.bmp
    312.9 KB · Views: 58
  • SI NCHEZO.bmp
    312.9 KB · Views: 236
  • WAKO HAI HAI.bmp
    312.9 KB · Views: 221
  • WAMEZIMIA.bmp
    312.9 KB · Views: 308
6.jpg


Hii ndo imetia fora huyu jamaa alie lala kwenye wowowo tukunyema balaa.
 
6.jpg


Hii ndo imetia fora huyu jamaa alie lala kwenye wowowo tukunyema balaa.


Napokea PM za kumwaga wanadai ni mzee wa tukutuku nikakataa wewe ulikuwa na Kaizer nje kidogo ya jiji.
 
Napokea PM za kumwaga wanadai ni mzee wa tukutuku nikakataa wewe ulikuwa na Kaizer nje kidogo ya jiji.

Hahahahaha mm maswala haya ya club iwa simaindishi si unaona hawa jamaa sasa sijui wanastarehe au ndo wanajichosha wenyewe? mm nilikuwa na mpwa Kaizer kama kawa wazee wa Ndovu.
 
Huyu ni member mwenzetu anaitwa RADICAL nilihakikisha nimmemfikisha home kwake. Angalia tumboni kwa makini utaona alikuwa amekumbatia nini.

Angalia avatar yangu wewe, unaona mi nafanana na jamaa huyo?
 
Back
Top Bottom