NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Napokea PM za kumwaga wanadai ni mzee wa tukutuku nikakataa wewe ulikuwa na Kaizer nje kidogo ya jiji.
huyu hata hajui akiamka hapo viatu kapeleka wapi
Style nyingine za kulala hizi? Mh! No comment for me.
https://www.jamiiforums.com/attachm...iesta-special-nani-aliyetia-fora-anatajka.bmp
https://www.jamiiforums.com/attachm...pecial-nani-aliyetia-fora-baunsa-amechoka.bmp
Huyu ni member mwenzetu anaitwa RADICAL nilihakikisha nimmemfikisha home kwake. Angalia tumboni kwa makini utaona alikuwa amekumbatia nini.
HAhahahaha huyu ndo Xpin mwenyewe dah naona Serengeti zilimchosha
Makubwa,Kama kuna jambo mojawapo huwa namshukuru Mungu ni kuniepusha na hobby za mateso kama hizi.