Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
njoo tupo kibao hapa kwenye kibanda cheupe.tupo kikazi zaidi.mia
Duuuh Mdau Figganigga... Lazima unatumia Ungo...jana c ulikuwa Mwembe-Yanga??? LOL!!!
njoo tupo kibao hapa kwenye kibanda cheupe.tupo kikazi zaidi.mia
preta acha woga kijana
nitamasha la mziki, bia na wezi wa simu na walet. Vipi kaka upo huko kama preta?wana-jf naomba kujua hili nitamasha la nini
preta unafanya nini tena huko usiku wote huu.. Nenda nyumbani kabla hujarudi mkavu.
na wewe kwa kupenda kudaiLoner Loner.....nakudai....ile ahadi ya kufuata mwanga iliishia wapi?.....na siku hizi umepotelea wapi?....mbona Fiesta sijakuona?.....mbona mbona.....aah....jibu kwanza hizo ndio niendelee na maswali
mimi huwa siendi fiesta wajanja wengi. Kufuata mwanga ni wewe tu hujanitafuta. Kupotea ni kwasababu ya majukumu. Vipi fiesta inaendaje?Loner Loner.....nakudai....ile ahadi ya kufuata mwanga iliishia wapi?.....na siku hizi umepotelea wapi?....mbona Fiesta sijakuona?.....mbona mbona.....aah....jibu kwanza hizo ndio niendelee na maswali
na wewe kwa kupenda kudai
utafikiri mpare aisee
mimi huwa siendi fiesta wajanja wengi. Kufuata mwanga ni wewe tu hujanitafuta. Kupotea ni kwasababu ya majukumu. Vipi fiesta inaendaje?
Njoo Quitoha ha ha.......wadeni wangu lazima waipate fresh ya shamba.......next ni PJ.....atahama mji nakwambia
hahahaaa..!! tusker usiniulize kuhusu vigoli.kwenye mkusanyiko ndiko mimi nlipo.usiniige mimi,hukawii kuuza nyumba usipokuwa makini.wengine wanachunwa mimi wananigea bule.kunywa kili bariidi siyo lazima kuomba ruksa.miaDuuuh Mdau Figganigga... Lazima unatumia Ungo...jana c ulikuwa Mwembe-Yanga??? LOL!!!