RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,849
- 129,775
Nimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi.
Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi mpaka asubuhi na Fiesta ni kazi hivyo itapigwa mpaka asubuhi!
Je ndio kusema ruhusa imetoka juu?
Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi mpaka asubuhi na Fiesta ni kazi hivyo itapigwa mpaka asubuhi!
Je ndio kusema ruhusa imetoka juu?