HarakatiNews
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 218
- 187
Wapenzi wa burudani na wanazi wa tamasha la Burudani lililopewa Jina la Serengeti Fiesta linalotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Kaitaba kesho ijumaa,wamepigwa na butwaa baada ya mastaa kibao wa mziki kuwasili katika uwanja wa ndege wa bukoba bila staa wa mziki wa kizazi kipya Nasib Abdul a.k.a Diamon Platnumz .
Hapo juu ni baadhi ya wasanii baada ya kuwaili bukoba
Chanzo:HARAKATINEWS BLOG:
Hapo juu ni baadhi ya wasanii baada ya kuwaili bukoba
Chanzo:HARAKATINEWS BLOG: