Ni yeye! Aisee Mustapha nilivomuona kwa mara ya kwanza nilishtuka, nkawa namhurumia nikijua labda kaumwa ghafla na kisukari manake nacho kinakataga weight upesi, siku hizi ndo nimemzoea!Kwani ni yeye huyo SL? Amekuwa kimodeli kweli au alienda india kama Mustafa Hassanali labda...
Hongera Fideline,umeonesha nini maana ya kuwa Role Model.
kwa kukonda ama?
Tusijidanganye hapo, hakuna cha fashion wala diet. Huyo kishafungua faili Angaza.... Ogopa VVU, tumia condom